SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Huku tukisubiri tar 20 tuwakere watu na uzi wa "Kwanini Mshahara wa January umechelewa?"Kwa sasa nitabaki mchangiaji kwenye threads za sports na kula kimasiara.
Maigizo tupuYaani serkali ya ccm ijichunguze yenyewe sawa na kesi ya nyani umpe ngedere, labda kama wachunguzi watatoka nje ya nchi. [emoji848][emoji1787][emoji1787]
Ukimaanisha?
Ya Lissu mpk leo hawajaanza uchunguzi unategemea ni nini hapo?
Ukweli utafutwe na uwekwe waziView attachment 3027737
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela
ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.
Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.
Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.
Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.
ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.
Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.
Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
Maigizo tupu
Ina maana gani?
Kwanini asimpeleke mahakamani?
Hakuna mtu anaunga mkono huo ujinga wa KimagufuliView attachment 3027737
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela
ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa amejeruhiwa vibaya.
Kijana huyu ni mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam alitafutwa na ndugu zake bila mafanikio baada ya kutoonekana kwa siku 3 tangu Jumapili tarehe 23.
Watanzania wameanza kuingia tena na hofu kukithiri kwa matukio ya wananchi kupotea, kuteswa na kuawa kwa kasi siku za hivi karibu. Inasikitisha pia kuona Jeshi la Polisi kutochukua hatua za haraka kwa wanaohusika na matukio hayo.
Tunalaani kwa nguvu zote kuongezeka kwa matukio hayo bila hatua madhubuti kuchukuliwa. Wananchi wamechoshwa na kutowajibika kwa Jeshi la Polisi au kuhusishwa kwao katika matukio ya kuwaumiza, kuwatesa na kuwakandamiza kila uchao badala ya kutekeleza wajibu wa kuwalinda pamoja na mali zao.
ACT Wazando tumechukua hatua za kumrejesha Dar es Salaam kwa Ndege kijana Mwakabela ili aweze kupatiwa matibabu haraka na ya kibingwa.
Hata hivyo, tunataka hatua za haraka za uchuhguzi zifanyike ili kubaini watu waliohusika na utekaji wa Ndg. Edgar Mwakabela.
Ndg. Dahlia Majid,
Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani
27 Juni, 2024.
Huyu dogo naye kwa mitusi๐ ๐ ๐
Muulize yeyeIna maana gani?
Alafu anawaonyesha na Sura kabisa anajiamini nini kwamba analindwa na ulinzi mkali au ๐Huyu dogo naye kwa mitusi๐ ๐ ๐
Wanajaribu ku justify kwamba he cooked his own goose! That's all. Ni wapumbavu.Ina maana gani?
Good answer.Wanajaribu mu justify kwamba he cooked his own goose! That's all. Ni wapumbavu.
Wangempeleka mahakamani akapate haki akeWanajaribu ku justify kwamba he cooked his own goose! That's all. Ni wapumbavu.
Ukipanda matembele utavuna matembeleWangempeleka mahakamani akapate haki ake
Kuna Clip moja Mr Bean alimpiga jambazi risasi ya kifua jamaa likazimia na kuwahishwa hospital kwa ajili ya upasuaji wa kutoa risasi,Nimeona pdf ya polisi kumuwekea ulinzi mhanga wa tukio
Acha ujinga ndiyo maana kukawa na mahakamaUkipanda matembele utavuna matembele