TISS na Polisi hawakutumika Safari hii. Wasipotumika, mbona CCM weupe tu.Bila wizi wa kura na msaada wa Police na Tume ya uchaguzi CCM ni wepesi kama uzi wa Sufi
Ilikuwa mipango kuwa ajihizuru ili uchaguzi irudiwe na ACT watangazwe washindi,ili kudanganywa jumuia ya madola kuwa Tanzania Kuna Semokrasia.Ile ya aliyejiuzuru alipata ngapi?
Kwa hiyo ule wa kwanza ulikuwa ni uporaji au? Kura zote hizo? Yule aliyejiuzulu alishindaje?Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021
View attachment 1969576
Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
Hata Polepole a.k.a chakubanga analijua hili.Bila wizi wa kura na msaada wa Police na Tume ya uchaguzi CCM ni wepesi kama uzi wa Sufi
Ingekuwa enzi ya lile zee, mkurugenzi wa uchaguzi hana kazi...Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021
View attachment 1969576
Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
Kwa hiyo ikishinda CCM mnasema kura zimeibwa ila wakishinda upinzani basi mnasema uchaguzi ni wa hakiTISS na Polisi hawakutumika Safari hii. Wasipotumika, mbona CCM weupe tu.
Mabavicha na masukuma gang hivi sasa wanaomba wimbo mmoja.Mabavicha mnaona sasa wenzenu wanashinda chini ya tume hii hii tena kwenye uchaguzi mdogo!