SINGLE WINDOW
JF-Expert Member
- Sep 2, 2021
- 356
- 278
Sasa mnadai nini Tena wakati hiyo time ambayo hamuitaki ndiyo inawapa ubunge au chagadema mpaka washinde wao ndiyo ionekane uvhaguzi ulikuwa huru?
Kwa hiyo huo ushindi unaondoa umuhimu wa dai la Tume Huru, kwa mtazamo wako?
Na nyie endeleeni kusikikiza akili matope za mbowe kususia wenzenu wanapeta chagadema siasa imewashindaHivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app