ACT Wazalendo waibwaga CCM Konde, Mohamed Said Issa ashindi kiti cha Ubunge

ACT Wazalendo waibwaga CCM Konde, Mohamed Said Issa ashindi kiti cha Ubunge

ACT muulizeni Prof. Lipumba kilichomkuta🤣
20211009_222032.jpg
 
Hii ni CUF iliyochangamka 🤣🤣..........

Tuseme asante Demo-kratos........
 
Nilishasema mara nyingi uko nyuma kwamba uhamuzi wa Chadema kususia uchaguzi mpaka pawe na tume huru. Utakuwa na impact kama vyama vyote vya upinzani vitakubali kususiha.

Nikawatahadhari, kuna vyama vitaendelea kushiriki chaguzi na vita shinda. Hii itadhoofisha madai ya kususia uchaguzi mpaka kuwe na tume huru!!
Tunasema yetu macho!!
 
Nilishasema mara nyingi uko nyuma kwamba uhamuzi wa Chadema kususia uchaguzi mpaka pawe na tume huru. Utakuwa na impact kama vyama vyote vya upinzani vitakubali kususiha.

Nikawatahadhari, kuna vyama vitaendelea kushiriki chaguzi na vita shinda. Hii itadhoofisha madai ya kususia uchaguzi mpaka kuwe na tume huru!!
Tunasema yetu macho!!
Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021

View attachment 1969576

Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
wanafiki hao
 
Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wanahisi sisi ni wajinga😅😅
 
Ilikuwa mipango kuwa ajihizuru ili uchaguzi irudiwe na ACT watangazwe washindi,ili kudanganywa jumuia ya madola kuwa Tanzania Kuna Semokrasia.
Chadema mnalialia tu kila siku

USSR
 
Gharama za hili zoezi na lile lililoishia na mteule kujiuzulu zingeleta nafuu ngapi Kwa wananchi wa hili jimbo?
 
Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mkuu,
Liangalie ili la kususia uchaguzi kwa upana zaidi.
Kama vyama vingine vya upinzani vitaendelea kushiriki uchaguzi na kishinda. Zaidi ya kudhoofisha madai ya Chadema ya kutaka tume huru kabla ya uchaguzi, unajua kitakachofuatia?

Kukusaidi, wagombea wa Chadema watakimbilia kwenye vyama vingine kama ACT, watapewa nafasi ya kugombea na watashinda!! The rest is history!
 
Tozo za parking zimeanza kuonesha makali yake,
Wenye magari wanajuta kuwa na magari daslam,
Lisaa limoja 500 ukichelewa kulipa faini 30,000
Kudadek hii ipo tz pekee
#sinunuigari
 
Back
Top Bottom