Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Mshindi amepata kura elfu mbili na kitu, na CCM kapata kura mia saba na kitu, hilo jimbo au mtaa?
Ukiangalia idadi ya wapiga kura unabakia hoi kabisa na kujiuliza hivi akili za Watanganyika zikoje?