Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Mshindi amepata kura elfu mbili na kitu, na CCM kapata kura mia saba na kitu, hilo jimbo au mtaa?
..aisee...ACT wazalendo ndio chama kikuu cha upinzani!
🤣ACT muulizeni Prof. Lipumba kilichomkuta🤣View attachment 1969672
Huko ubunge utakuwa na raha yake maana unaweza kujua wananchi wako wote kwa majina[emoji38][emoji38][emoji38]Mshindi amepata kura elfu mbili na kitu, na CCM kapata kura mia saba na kitu, hilo jimbo au mtaa?
Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.Nilishasema mara nyingi uko nyuma kwamba uhamuzi wa Chadema kususia uchaguzi mpaka pawe na tume huru. Utakuwa na impact kama vyama vyote vya upinzani vitakubali kususiha.
Nikawatahadhari, kuna vyama vitaendelea kushiriki chaguzi na vita shinda. Hii itadhoofisha madai ya kususia uchaguzi mpaka kuwe na tume huru!!
Tunasema yetu macho!!
wanafiki haoMsimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021
View attachment 1969576
Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
Wanatuzuga tu. Hatudanganyikihapo ni ccm B kamshinda ccm A, inshort hapo hamna kitu.
Wanahisi sisi ni wajinga😅😅Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Chadema mnalialia tu kila sikuIlikuwa mipango kuwa ajihizuru ili uchaguzi irudiwe na ACT watangazwe washindi,ili kudanganywa jumuia ya madola kuwa Tanzania Kuna Semokrasia.
Machadema bado tu yanajiona eti ndio chama kikuu cha upinzani, duh.ACT wazalendo ndio chama kikuu cha upinzani!
Mkuu,Hivyo vyama hata vikishiriki uchafuzi Chadema haita shiriki msitulazimishe Ujinga wenu. Huo ulikuwa mpango mahsusi ulipangwa kuibaka demokrasia. Toka lini mbunge wa cccm akajiuzuru kijinga jinga tuu bila sababu? Hao ACT ni ccm B na hakuna Cha maana mtafanikiwa kuwapumbaza wenye Akili.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
ACT Wazalendo ni branch ya CCMUchaguzi mdogo uliofanyika leoView attachment 1969732