ACT Wazalendo wana busara kuliko CHADEMA. Walimpisha Rais mafuriko ya Hanang

ACT Wazalendo wana busara kuliko CHADEMA. Walimpisha Rais mafuriko ya Hanang

TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
mjinga tu wewe.
chadema ni taasisi kubwa.
 
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.

Huyo jamaa wakuitwa Ado, alijikomba kwa CCM wakati wa uchaguzi wa EALA alidhani watampa kura , baada ya kuwasifu CCM kwenye kuomba kura , wakampiga Chini. Hivyo huo ni chawa msaka vyeo
 
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Wewe Kamanda mshauri mwenyekiti wako Mbowe wakati mwingine atumie busara. CHADEMA mnakuwa kama watoto wakati mwingine
 
Wewe uko upande gani? Unajifanya chadema lkn unamshambulia Mbowe..Leo.mara act wazalendo. Huu unakuwa unafiki ktk uislam na unafiki mbaya sana na dhambi zake ni kubwa. Sijui ktk dini nyengine mnafiki anachukuliwa vipi. J2 njema. Au nakosea wadau kumfahamisha huyu kiumbe?
Huyo ni CHADEMA ila kakataa kuwa mnafiki
 
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Hiki ndio chama chenye watu wenye akili. CHADOMO ni chama cha wahuni wavuta bangi
 
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.majimbo 5 watoto wetu

TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Sisi ccm tutawapa Hawa watoto wetu majimbo 5
 
Back
Top Bottom