shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
mjinga tu wewe.TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
we ndo hutumiii akili unaishia kutumia masaburiTumia akili zako zote
Akiwemo na mamako?Chadema ni genge la wahuni
Mama yangu ni UDPAkiwemo na mamako?
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Uzi kama huu huwezi kuona comment ya Erythrocyte kutokana na unafiki wa chadema na yeye mwenyewe
Chadema ni genge la wahuni
Wewe Kamanda mshauri mwenyekiti wako Mbowe wakati mwingine atumie busara. CHADEMA mnakuwa kama watoto wakati mwingineTULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Ni kweli. Kwa kile kiingereza chake cha juhudi binafsi hata ingekuwa wewe usingemchagua.Kwani Mafuriko yalitokea lini?
Huyu jamaa ndio sababu Wabunge wa CCM walimkataa Bunge la Eala, ni mweupe sana!
Huyo ni CHADEMA ila kakataa kuwa mnafikiWewe uko upande gani? Unajifanya chadema lkn unamshambulia Mbowe..Leo.mara act wazalendo. Huu unakuwa unafiki ktk uislam na unafiki mbaya sana na dhambi zake ni kubwa. Sijui ktk dini nyengine mnafiki anachukuliwa vipi. J2 njema. Au nakosea wadau kumfahamisha huyu kiumbe?
Hiki ndio chama chenye watu wenye akili. CHADOMO ni chama cha wahuni wavuta bangiTULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Sio kweliHuyo ni CHADEMA ila kakataa kuwa mnafiki
TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.majimbo 5 watoto wetu
Sisi ccm tutawapa Hawa watoto wetu majimbo 5TULIMPISHA RAIS SAMIA.
"Nilifika Manyara jana, lakini, kwa kutambua Mh. Rais ana ratiba Katesh, hekima ilitutuma kusogeza mbele ratiba yetu ili kumpisha kisha sisi tuje leo kuona athari ya mafuriko, kuwaona wahanga na kutoa mchango wetu," Ado Shaibu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu alipokelewa Hanang na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga.
Unafiki kwa wananchi Kwenda Manyara na kufanya mizunguko yao huku wakijua rais ana ratiba siku hiyoCHADEMA walimfanyia nani unafiki?.
Wapi? Kile Ki-babu "shusha tanga"? Hakifai hata ubalozi wa nyumba 10!!ACT ya Zanzibar ndio wanajitambua