Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma ya magufuli hii,watu walimuelewa sana magufuli hawa wachumia tumbo kina zito wataonja radha ya chuki Kwa maika mingiKama hii ni saa 10 jioni yaweza kuwa ni muda muafaka wa kujitathmini:
View attachment 2636971
Kufikiria kuunganisha nguvu hata kupitia ma coalition linaweza kuwa jambo lenye tija zaidi.
Tuyaweke maslahi ya taifa mbele. Kipaumbele sasa ni katiba mpya.
Umoja ni nguvu!
Mi siwaonei huruma kabisa Act . Na sijui kwa nn ila naamini hawa wametumika sana kudhoofisha upinzani, They should pay the price!!.
ACT mitandaoni ukiwaona hasa twitaa unaweza kusema bonge la Chama. Field huko upupu mtupu na dalali wao yule 😂😂Kama hii ni saa 10 jioni yaweza kuwa ni muda muafaka wa kujitathmini:
View attachment 2636971
Kufikiria kuunganisha nguvu hata kupitia ma coalition linaweza kuwa jambo lenye tija zaidi.
Tuyaweke maslahi ya taifa mbele. Kipaumbele sasa ni katiba mpya.
Umoja ni nguvu!
Yani upinzani wenyewe kwa wenyewe mnatambiana,mi ccm yenyewe kwa yenyewe yanagombana,,hii nchi tuna safari
Karma ya magufuli hii,watu walimuelewa sana magufuli hawa wachumia tumbo kina zito wataonja radha ya chuki Kwa maika mingi
USSR
TUnayo Kazi Moja tu mbele yetu kama Taifa nayo ni Katiba Mpya.Kama hii ni saa 10 jioni yaweza kuwa ni muda muafaka wa kujitathmini:
View attachment 2636971
Kufikiria kuunganisha nguvu hata kupitia ma coalition linaweza kuwa jambo lenye tija zaidi.
Tuyaweke maslahi ya taifa mbele. Kipaumbele sasa ni katiba mpya.
Umoja ni nguvu!
Labda hawataki kuiga iga ya CCM aka mambuziWakimlipa Diamond hapo panajaa..
Swali ni je Demokrasia yetu inaruhusu wasanii kufanya kazi na wapinzani bila hofu??
Mi siwaonei huruma kabisa Act . Na sijui kwa nn ila naamini hawa wametumika sana kudhoofisha upinzani, They should pay the price!!.
Na wala siamini kwenye coalition with rogue leaders kama kina zitto , chafema wapambanee tu wenyewe.
Kwanini wasiunge mkono juhudi za CDM tu?Kama hii ni saa 10 jioni yaweza kuwa ni muda muafaka wa kujitathmini:
View attachment 2636971
Kufikiria kuunganisha nguvu hata kupitia ma coalition linaweza kuwa jambo lenye tija zaidi.
Tuyaweke maslahi ya taifa mbele. Kipaumbele sasa ni katiba mpya.
Umoja ni nguvu!
Kwanini wasiunge mkono juhudi za CDM tu?
Waungane na CHADEMA tu.