The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
DOROTHY Semu Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ametea Kamati ya Kuunda ilani ya chama hicho ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.
Kiongozi huyo ameyatangaza majina hayo leo tarehe 6 Februali 2025.
Kamati hiyo itaongozwa na Mwenyekiti, Emmanuel Lazarus Mvula na Katibu wa Kamati ni Idrisa Kweweta.Wajumbe ni Dk. Elizabeth Sanga, Prof. Omar Fakih, Mary Mongi, Mtutura Abdallah Mtutura, Pavu Abdallah, Edgar Mkosamali, Abdul Nondo, Yasinta Cornell Awiti, Seif Suleiman Hamad, Shangwe Ayo, Humphrey Mrema, Maharagande Mbarala.
Kwa upande wa Sekretarieti ya Kamati ni Mshenga Juma, Jasper Sabuni, Jackline Prosper Ndonde na Said Mahalifa.
Pia soma:
Kiongozi huyo ameyatangaza majina hayo leo tarehe 6 Februali 2025.
Kamati hiyo itaongozwa na Mwenyekiti, Emmanuel Lazarus Mvula na Katibu wa Kamati ni Idrisa Kweweta.Wajumbe ni Dk. Elizabeth Sanga, Prof. Omar Fakih, Mary Mongi, Mtutura Abdallah Mtutura, Pavu Abdallah, Edgar Mkosamali, Abdul Nondo, Yasinta Cornell Awiti, Seif Suleiman Hamad, Shangwe Ayo, Humphrey Mrema, Maharagande Mbarala.
Kwa upande wa Sekretarieti ya Kamati ni Mshenga Juma, Jasper Sabuni, Jackline Prosper Ndonde na Said Mahalifa.
Pia soma: