Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Wamebomoa ngvu ya Chaso vyuo vikuu kibao
👇
👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT itaitaji miaka 15 mbele kuibomoa Chadema, chama kichanga Sana ,hamna kitu paleWamebomoa ngvu ya Chaso vyuo vikuu kibao
👇View attachment 2272462
Yaani Kwa akili za kina Ado ,Kasala ,Massabo eti mpinzani wao Ni Chadema badala ya CCM,igizo la viongozi wa Chadema Ruvuma kuhamia NGOGWE na Sasa imekuwa chaso,hawajui kuwa wale wa chaso ni waha wachache wasiyo jitambua wameende kwa mwana Kigoma mwenzao.A
ACT itaitaji miaka 15 mbele kuibomoa Chadema, chama kichanga Sana ,hamna kitu paleEti
Bandubandu humaliza gogo
Jimbo moja?Chadema haibomolewi kwa kuchukua watu 23, hata Mwendazake alijitahidi kuwanunua alioweza lakini bado Chadema ipo tu.
Kwani imebaki na wabunge wangapiNakuhakikishia ACT hata kwa msaada wa usalama hawawezi kabisa kuibomoa CDM.
Kama ni kuibomoa CDM angeiboma yule kichaa kwani;
aliwafunga!
aliwabambikia kesi!
Aliwaua!
aliwatesa sana!
Aliwadhulumu mno!
Lakini CDM imezidi kuimarika pamoja na uhujumu mkubwa uliofanywa!
Umeongea vizuri mkuu, nyuma ya ACT Kuna Mambo mengi Sana mkuu, hakuna kitu pale,thaksYaani Kwa akili za kina Ado ,Kasala ,Massabo eti mpinzani wao Ni Chadema badala ya CCM,igizo la viongozi wa Chadema Ruvuma kuhamia NGOGWE na Sasa imekuwa chaso,hawajui kuwa wale wa chaso ni waha wachache wasiyo jitambua wameende kwa mwana Kigoma mwenzao.
Akili za ACT Ni duni Sana,badala wajikite kutafuta wanachama wapya wamekalia maigizo ya siyo na tija kwao,
ACT haina wanachama bali, inawafuasi wa maalimu Sharif, siku wakianzisha au wakihamia chama kingine watabaki na nini?
Jimbo moja?
Hadi akafa kwa mawazoChadema haibomolewi kwa kuchukua watu 23, hata Mwendazake alijitahidi kuwanunua alioweza lakini bado Chadema ipo tu.