ACT Wazalendo yazidi kuiteka Tanzania

ACT Wazalendo yazidi kuiteka Tanzania

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
 
Ni ukweli nimekuwepo Tanga kwa kweli sikuamini nilichokiona ,huwa najiuliza kuna CCM mji huu ?
 
Vijana wa Tz wengi wapo kwenye siasa za kijinga mno, mda wanao poteza kwenye kujenga maisha ya wana siasa wa kubwa na vigogo wakati wenyewe na wazazi wao wanabaki na umasikini tu. Kuna haja ya new bigining kwa kweli.
 
Kweli kabisa, NGOGWE zimekuwa!

20220130_104611.jpg


20220130_145754.jpg


20220202_175551.png
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia,tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa,tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CDM.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Ukweli ni kwamba hata hili andiko ni la kichawi na kiboko yake ni Chadema
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia,tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa,tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CDM.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Wewe chawa wewe una shida! Haya nenda kwa makuwadi wenzako wa magamba! Nenda Misri masufuria ya Nyama yamejaa! ila utumwa utabaki nao hadi kifo!
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Chama ndugu Cha wanakijani kishindwe kufanya maigizo ndani mwao🤔
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Mtatumika na CCM mpaka lini nyie?
 
Siasa za Zitto hawezi fika mbali, huko zenzi kwenyewe tayari kashalikoroga togwa.
 
Back
Top Bottom