ACT Wazalendo yazidi kuiteka Tanzania

ACT Wazalendo yazidi kuiteka Tanzania

Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Mkuu Shocker, hongera sana kwa kuliona hili leo, angalia sisi wengine tuliona lini...
P
 
Wazanzibar wote waliokuwa ACTjwatarudi CUF.
ACT ni Chama Cha Kijamaa kama lCCM. Wazanzibar wengi ni Wafanyabiashara halali wanaoendesha biashara halali kihalali. Ujamaa Kwa Wazanzibar ni no l jacatnga kubwa tangu wakati wa mfumo wa Chama kimoja. Wazanzibar hawawezi kubaki kwenye ACT ,ni Bora warudi CUF au CCM lakini sio ACT. Ujamaa wa ACT na mwasisi wake ni d uliojengwa kwenye misingi na kuwabakagua na kuhaguana kikanda. Sio mara Moja au mbili nimemsikia Zito akisema Kaskazini wasipelekewe pesa za maendeleo mana wao walipendelewa Kwa muda mrefu. Mtu kama huyo na Chama chake hafai kuongoza serikali.

Vyama vya Kijamaa ni vyama vya kinafiki mana viongozi wao ni mabepari wakubwa na wamejilimbikizia Mali nyingi.

Wazanzibar kuweni macho na ACT.
Rudini CUF Chama kilichojengwa kiitikadi na sio kinafiki. Lipumba amewaomba msamaha kiungwana kabisa. Tunataka vyama vyenye nguvu ya kuikosoa CCM na kusimamia itikadi zake.
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Mnahangaika sana Kama Magufuli Alishindwa pamoja na kuiba Kura,Kukamata kupiga Risasi kubambikiziwa Watu kesi CHADEMA HAIKUFA HAKUNA wa KUIUA sana UTAKUFA WEWE CHADEMA NI TAASISI ITABAKI
 
Vijana wa Tz wengi wapo kwenye siasa za kijinga mno, mda wanao poteza kwenye kujenga maisha ya wana siasa wa kubwa na vigogo wakati wenyewe na wazazi wao wanabaki na umasikini tu. Kuna haja ya new bigining kwa kweli.
CCM kuna VIJANA wa HOVYO kupata kutokea
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Sawa
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Hongera kwa kuhitimu chuo cha uongozi Kibaha .
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
EmTokapa
IMG_20220225_100906.jpg
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Nadhani umeongea lugha ya mafumbo au kejeli kuhusu Act
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Eti naye huyu ni JF expert member!
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Stupid and nonsensical post.
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Rubbish 👉 🚮🚮🚮🚮
Chama kilichochokwa ni ccm, sema kinabebwa tu na dola!
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Chadema mass ya wanachama wake ni watanganyika ambao historically ni watu waoga sana siku zote wanashindwa ni watu laki 3 kutoka Zanzibar kwenye milioni 8 waliotangaza kuwa ndio wanachama wao, ndio mana chadema inakufa hivi hivi tukiiyona
 
Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.

Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Ujinga na upumbavu wenu nyie ACT kutoka kiongozi wenu wa juu hadi hadi wewe mshika ukuta hauna gharama ni haki yenu kuukumbatia.
 
Back
Top Bottom