Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Shocker, hongera sana kwa kuliona hili leo, angalia sisi wengine tuliona lini...Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Mnahangaika sana Kama Magufuli Alishindwa pamoja na kuiba Kura,Kukamata kupiga Risasi kubambikiziwa Watu kesi CHADEMA HAIKUFA HAKUNA wa KUIUA sana UTAKUFA WEWE CHADEMA NI TAASISI ITABAKIKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Yani mleta uzi kaa mwehu vile..Umeona ujijibu mwenyewe 🤣🤣🤣
CCM kuna VIJANA wa HOVYO kupata kutokeaVijana wa Tz wengi wapo kwenye siasa za kijinga mno, mda wanao poteza kwenye kujenga maisha ya wana siasa wa kubwa na vigogo wakati wenyewe na wazazi wao wanabaki na umasikini tu. Kuna haja ya new bigining kwa kweli.
SawaKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Hongera kwa kuhitimu chuo cha uongozi Kibaha .Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Asante umemalizAWishful thinking
EmTokapaKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Nadhani umeongea lugha ya mafumbo au kejeli kuhusu ActKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Eti naye huyu ni JF expert member!Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Stupid and nonsensical post.Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Rubbish 👉 🚮🚮🚮🚮Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Chadema mass ya wanachama wake ni watanganyika ambao historically ni watu waoga sana siku zote wanashindwa ni watu laki 3 kutoka Zanzibar kwenye milioni 8 waliotangaza kuwa ndio wanachama wao, ndio mana chadema inakufa hivi hivi tukiiyonaKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, Kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja,viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Ujinga na upumbavu wenu nyie ACT kutoka kiongozi wenu wa juu hadi hadi wewe mshika ukuta hauna gharama ni haki yenu kuukumbatia.Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.