ACT Wazalendo yazidi kuiteka Tanzania

Nazidi kuwapa hongera ACT kwani sasa tunaona ni nani mpinzani wa kweli ,hivi inakuwaje mpinzani kuisifu serikali ???
Nijuavyo kisiasa Serikali ikitenda zuri au baya ,wewe mpinzani ni kupiga bomu aka dongo hapo hapo pazuri,kusifu ni kujidhalilisha .
Mnasifu kwa lipi ?
Kutolewa kifungoni ?
Kupewa passport nyingine ? Wakati ni haki yako !
 

ACT gani unaiongelea?. Hii iliyopata kura kumi Ngorongoro be serious. Siku akina jussa na Othmana watakapopingana na Zitto ndio ujue mwisho wa ACT Umefika.
 
Chadema mass ya wanachama wake ni watanganyika ambao historically ni watu waoga sana siku zote wanashindwa ni watu laki 3 kutoka Zanzibar kwenye milioni 8 waliotangaza kuwa ndio wanachama wao, ndio mana chadema inakufa hivi hivi tukiiyona

Chadema alishindwa kuiua Magufuri sembuse wewe?. NCCR ilipita, CUF ikapita, ACT imebidi wajikombe CCM Ili wapewe huruma.
 
Ubongo wako uko likzo
 
ACT ni mshirika wa serikali Zanzibar
 
Kikosi kazi mpo Ikulu mnatumia โ€WIFIโ€ mtakavyo,, ACT Mungu anawaona mjue.
 
Chadema alishindwa kuiua Magufuri sembuse wewe?. NCCR ilipita, CUF ikapita, ACT imebidi wajikombe CCM Ili wapewe huruma.
Ulitaka aiuwe vi tena mkuu., chadema saiv yamebaki makaratasi kwenye ofisi zao
 
Huo ni mtazamo wako maana una mawazo mgando tambua chadema ilikaliwa vibaya na ikazuiwa kufanya mikutano hivo wakaua mfumo ulio kuwa umezoeleka ndo maana unafikiri hayo ila jua kawa chadema ipo katka mioyo ya watu ndugu we subili utakubsli mwenyewe mzik wa chadema.
 
Sawa!! Take that! Take that!!
 

Attachments

  • twitter_20220322_213810.mp4
    663.1 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ