Nazidi kuwapa hongera ACT kwani sasa tunaona ni nani mpinzani wa kweli ,hivi inakuwaje mpinzani kuisifu serikali ???
Nijuavyo kisiasa Serikali ikitenda zuri au baya ,wewe mpinzani ni kupiga bomu aka dongo hapo hapo pazuri,kusifu ni kujidhalilisha .
Mnasifu kwa lipi ?
Kutolewa kifungoni ?
Kupewa passport nyingine ? Wakati ni haki yako !
Chadema mass ya wanachama wake ni watanganyika ambao historically ni watu waoga sana siku zote wanashindwa ni watu laki 3 kutoka Zanzibar kwenye milioni 8 waliotangaza kuwa ndio wanachama wao, ndio mana chadema inakufa hivi hivi tukiiyona
Ubongo wako uko likzoKwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Kikosi kazi mpo Ikulu mnatumia โWIFIโ mtakavyo,, ACT Mungu anawaona mjue.Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.
Ulitaka aiuwe vi tena mkuu., chadema saiv yamebaki makaratasi kwenye ofisi zaoChadema alishindwa kuiua Magufuri sembuse wewe?. NCCR ilipita, CUF ikapita, ACT imebidi wajikombe CCM Ili wapewe huruma.
Sawa!! Take that! Take that!!Kwa kweli hiki chama kimekaa kama cha kichawi kila kinapokwenda maelfu ya watu wanakiunga mkono na sasa kipo mbali sana ,inakuwa ni ile hadithi ya mpiga filimbi, kwa kweli sasa ACT Wazalendo ni tishio kubwa kwa CCM na vyama vidogo vidogo vilivyobakia, tunajua Chama kilichokuwa namba mbili badala ya CCM ni Chadema ila kwa sasa hiki chama kimejaa mapapasi na hakina wanachama wanaoweza kufanya kweli wanapohitajika na ndio tukaona kinaishia kwenye kuita vyombo vya habari kubwabwaja, viongozi wao wakizidiwa hukimbilia nchi za nje na huko huwa watangazaji wakubwa, tuseme tu wananchi wameshakichoka chama hiki CHADEMA.
Chadema kinaelekea kufa na kupotea katika mihemko ya kisiasa na Uchaguzi ujao ni vita kali kati ya CCM na ACT.