Active member gani yupo peace kuliko smart911?

Active member gani yupo peace kuliko smart911?

wewe si ndiye uliyemtwanga mwenzako ngumi kwa njia ya keyboard mpaka ukamng'oa meno
photo802311.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16] daah we sio mzima ujue nimejikuta nacheka kwa sauti. Hili lilikuwa tukio gani tena nikumbushe
nilikuwa nakusalimia tu...
sijui hata ni wapi hapo ,si unajua ile safari ilikuwa ni ndefu sana kwa takribani km 54, ni ngumu sana kuzihifadhi barabara tulizopitia.
huenda ni nyakati zile anahamu ya mtoto lakini daktari anamuogopa
 
nilikuwa nakusalimia tu...
sijui hata ni wapi hapo ,si unajua ile safari ilikuwa ni ndefu sana kwa takribani km 54, ni ngumu sana kuzihifadhi barabara tulizopitia.
huenda ni nyakati zile anahamu ya mtoto lakini daktari anamuogopa
[emoji16][emoji16] ni kweli ila hapo inaonekana Su Nyeo alikuwa anasema 'yobu...Sam doshiii'
 
[emoji16][emoji16] ni kweli ila hapo inaonekana Su Nyeo alikuwa anasema 'yobu...Sam doshiii'
teh teh teh
na kipindi hicho kwa muonekano wake huenda ni nyakati zile amejawa na vibarua.
  1. mkusanya madeni ya benki
  2. mlinzi wa vicoba kwa wauzaji wa kuku sokoni
  3. mlinzi wa mshahara wa sam doshii
  4. Menstrual cycle imerudi, yaani full raha usoni
 
teh teh teh
na kipindi hicho kwa muonekano wake huenda ni nyakati zile amejawa na vibarua.
  1. mkusanya madeni ya benki
  2. mlinzi wa vicoba kwa wauzaji wa kuku sokoni
  3. mlinzi wa mshahara wa sam doshii
  4. Menstrual cycle imerudi, yaani full raha usoni
[emoji16][emoji16][emoji16] kiboko ya Sam Do... Unakumbuka aliambiwa na yule msanii ' you look normal but you can barely say a word in front of your wife...what a waste of looks' nikajiuliza hivi hata ninyi wanaume huwa mnawatambua wanaume wenzenu wenye muonekano mzuri?
 
Back
Top Bottom