Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona umenipa cheo kikubwa sanaMmh weye "wakili" ?!![emoji23][emoji23]
wewe si ndiye uliyemtwanga mwenzako ngumi kwa njia ya keyboard mpaka ukamng'oa menoMimi apa
Wakili kweli ni cheo kikubwa....hususani tabia yao ya "ubishi" katika HOJA....Mkuu mbona umenipa cheo kikubwa sana
[emoji16][emoji16][emoji16] daah we sio mzima ujue nimejikuta nacheka kwa sauti. Hili lilikuwa tukio gani tena nikumbushewewe si ndiye uliyemtwanga mwenzako ngumi kwa njia ya keyboard mpaka ukamng'oa meno
View attachment 1628703
[emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuuWakili kweli ni cheo kikubwa....hususani tabia yao ya "ubishi" katika HOJA....
Ubishi wa wakili si lazima uwe "mbaya"[emoji23]
nilikuwa nakusalimia tu...[emoji16][emoji16][emoji16] daah we sio mzima ujue nimejikuta nacheka kwa sauti. Hili lilikuwa tukio gani tena nikumbushe
[emoji16][emoji16] ni kweli ila hapo inaonekana Su Nyeo alikuwa anasema 'yobu...Sam doshiii'nilikuwa nakusalimia tu...
sijui hata ni wapi hapo ,si unajua ile safari ilikuwa ni ndefu sana kwa takribani km 54, ni ngumu sana kuzihifadhi barabara tulizopitia.
huenda ni nyakati zile anahamu ya mtoto lakini daktari anamuogopa
teh teh teh[emoji16][emoji16] ni kweli ila hapo inaonekana Su Nyeo alikuwa anasema 'yobu...Sam doshiii'
[emoji16][emoji16][emoji16] kiboko ya Sam Do... Unakumbuka aliambiwa na yule msanii ' you look normal but you can barely say a word in front of your wife...what a waste of looks' nikajiuliza hivi hata ninyi wanaume huwa mnawatambua wanaume wenzenu wenye muonekano mzuri?teh teh teh
na kipindi hicho kwa muonekano wake huenda ni nyakati zile amejawa na vibarua.
- mkusanya madeni ya benki
- mlinzi wa vicoba kwa wauzaji wa kuku sokoni
- mlinzi wa mshahara wa sam doshii
- Menstrual cycle imerudi, yaani full raha usoni
Kuna mtu anaitwa mkwepu jr ulishawahi kumsikia au kuona mahala aliko andika
Mkuu; matajiri kwa kawaida (ukiachilia Mo) huwa hawana maneno mengi. Ulishawahi kumuona Kiduku Lilo akibishana na watu humu?Toka nijiunge jamiiforum huyu smart911 Yuko peace Sana sijawahi kuona kabishana na mtu au kuleteana lomoni humu ndani.mtaje wa kwako
Duhhhh...😲