Yawezekana wameajiriwa na JFKuna muda naweza kukosa muda wa kuingia humu ila sijawahi kukuta hawa viumbe wako Offline hapa JF.
Daby.
BAK.
Saint Ivuga.
Iceman 3D.
Miss Natafuta.
Mshana Jr.
Kisu cha Ngariba.
Nyie viumbe huwa mnamudu vipi kuwa online muda wote ?
Sijui kwa upande wako!
Bahati yako umekwepa..Yaani kama kwenye mitandao kama airtel hata kama haupo hewani
Mtu akikupigia unaambiwa mtumiaji wa simu unayempigia hapatikani kwasasa. That's auto-sound.
Kwahiyo hiyo ukiwekewa hata kama haupo online account yenyewe itaanzisha thread.. itajibu pm n.k
Angalizo: hii bado haijagunduliwa labda karne inayokuja.
UlishaaminiBahati yako umekwepa..
Nilitaka nikuswalike maswali ukakwepaUlishaamini
[emoji16][emoji16][emoji106][emoji106]Nilitaka nikuswalike maswali ukakwepa
[emoji38] [emoji38] [emoji106]Mkuu set auto-reply hata kama simu imezima ukiqoutiwa inajireply. Dunia imehama.
NB: wengine usituone tunashinda humu tumeajiriwa humu humu..wake wetu wamo humuhumu.
[emoji15] we ni new member?!Out of topic:nawezaje kujua mtu aliye offline/online hapa jukwaani?hilo tu wakuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna huyu mtu kanishinda
Cc Shunie huyu sio saa 1 9 7 8 11
PoleeNimetoka kula Ban ya week 1
Polee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani kama kwenye mitandao kama airtel hata kama haupo hewani
Mtu akikupigia unaambiwa mtumiaji wa simu unayempigia hapatikani kwasasa. That's auto-sound.
Kwahiyo hiyo ukiwekewa hata kama haupo online account yenyewe itaanzisha thread.. itajibu pm n.k
Angalizo: hii bado haijagunduliwa labda karne inayokuja.
wengine sawa ila huyu daby yuko hapa kutongoza tongoza tuKuna muda naweza kukosa muda wa kuingia humu ila sijawahi kukuta hawa viumbe wako Offline hapa JF.
Daby.
BAK.
Saint Ivuga.
Iceman 3D.
Miss Natafuta.
Mshana Jr.
Kisu cha Ngariba.
Nyie viumbe huwa mnamudu vipi kuwa online muda wote ?
Sijui kwa upande wako!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu daby hatari sanaHAHAHAHAHHA unajua hamnazoo weweeeeee
wewe jamaa ni hatariii yani umemtongoza kasie hadi kalainika... aisee wewe jamaa una fix za hali ya juu.Hiyo unawafuata mod wanakuwekea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeah sure... tatizo miguu yake tu ina matege ya nyuma
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji106][emoji106][emoji106][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu daby hatari sana
Njoo tuungane acha kupiga punyetowengine sawa ila huyu daby yuko hapa kutongoza tongoza tu
Hahaha... shemeji yako yule ukikutana naye mpe heshimawewe jamaa ni hatariii yani umemtongoza kasie hadi kalainika... aisee wewe jamaa una fix za hali ya juu.
naongea na paw mod mmoja hivi akutangwe ban la maisha.
yule mdada nampenda kama nini..
na husna naye nani?Hahaha... shemeji yako yule ukikutana naye mpe heshima
ha haha ..acha hizoNjoo tuungane acha kupiga punyeto