Active Member JF

Yawezekana wameajiriwa na JF
 
Bahati yako umekwepa..
 
Mkuu set auto-reply hata kama simu imezima ukiqoutiwa inajireply. Dunia imehama.


NB: wengine usituone tunashinda humu tumeajiriwa humu humu..wake wetu wamo humuhumu.
[emoji38] [emoji38] [emoji106]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wengine sawa ila huyu daby yuko hapa kutongoza tongoza tu
 
Hiyo unawafuata mod wanakuwekea
wewe jamaa ni hatariii yani umemtongoza kasie hadi kalainika... aisee wewe jamaa una fix za hali ya juu.
naongea na paw mod mmoja hivi akutangwe ban la maisha.
yule mdada nampenda kama nini..
 
wewe jamaa ni hatariii yani umemtongoza kasie hadi kalainika... aisee wewe jamaa una fix za hali ya juu.
naongea na paw mod mmoja hivi akutangwe ban la maisha.
yule mdada nampenda kama nini..
Hahaha... shemeji yako yule ukikutana naye mpe heshima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…