Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
KumbeMkuu set auto-reply hata kama simu imezima ukiqoutiwa inajireply. Dunia imehama.
NB: wengine usituone tunashinda humu tumeajiriwa humu humu..wake wetu wamo humuhumu.
Nasubiria auto-replay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeMkuu set auto-reply hata kama simu imezima ukiqoutiwa inajireply. Dunia imehama.
NB: wengine usituone tunashinda humu tumeajiriwa humu humu..wake wetu wamo humuhumu.
Hebu specialize mkuuKuna muda naweza kukosa muda wa kuingia humu ila sijawahi kukuta hawa viumbe wako Offline hapa JF.
Daby.
BAK.
Saint Ivuga.
Iceman 3D.
Miss Natafuta.
Mshana Jr.
Kisu cha Ngariba.
Nyie viumbe huwa mnamudu vipi kuwa online muda wote ?
Sijui kwa upande wako!
sanaaaaaaaAnaonekana kuwa ni mfungua zipu
sema mupo naye.. manake naona mpo wengi sana aisee...una moyo sana.. au ndio unatimiza nguzo zile za Allah.Nipo nae[emoji12]
HayA tupo nae[emoji38]sema mupo naye.. manake naona mpo wengi sana aisee...una moyo sana.. au ndio unatimiza nguzo zile za Allah.
Kuna muda naweza kukosa muda wa kuingia humu ila sijawahi kukuta hawa viumbe wako Offline hapa JF.
Daby.
BAK.
Saint Ivuga.
Iceman 3D.
Miss Natafuta.
Mshana Jr.
Kisu cha Ngariba.
Nyie viumbe huwa mnamudu vipi kuwa online muda wote ?
Sijui kwa upande wako!
Yupi huyoWote tisa mmoja apo ni nyokko asee katia fora kwakweli
Anamaanisha DabyYupi huyo
Kwa mfano kama mimi nimeshakuwa addicted,Hivi wanamuduje mambo mengine ya maisha yao mtu masaa yote upo online jf ???
Yani mtu ile amepost uzi tu the first to reply huyoo kama sio wakwanza unamkuta kwenye top ten first duhhhhhhhhhhh
Huyo wa kwanza ni mkarimu sanaWote tisa mmoja apo ni nyokko asee katia fora kwakweli
Huyo hapo huyo... Humuoni..!?Yupi huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anamaanisha Daby
Basi acheni kumsimanga mwenyewe bado nampendaHii namba imechafuka sana humu
Hahahaha Cc Daby njoo huku ushapendwa tayariBasi acheni kumsimanga mwenyewe bado nampenda