Activist Mtanzania aliedai kutekwa Kenya ni kama vile alijiteka mwenyewe tu ili kuzichonganisha na kuharibu uhusiano wa serikali za Kenya na Tanzania

Activist Mtanzania aliedai kutekwa Kenya ni kama vile alijiteka mwenyewe tu ili kuzichonganisha na kuharibu uhusiano wa serikali za Kenya na Tanzania

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Maelezo yake ni dhahiri ya kupikwa, hayana uhalisia hata kidogo. Script haikuandaliwa vizuri.

Kwakua mwanaharakati huyo amekua akipuuzwa kwa muda mrefu katika masuala mbalimbali anayojaribu kuyaibua kwa manufaa yake binafsi na nia zake ovu, ameona kutumia njia hiyo ya kujiteka ili kuvuta huruma na hisia za watu na mataifa mbalimbali na kujaribu kumfuatilia baada ya kumpuuza sana kwa muda mrefu, akaamua kufanya hivyo ili kuonyesha hila zake dhidi ya Tanzania na kufikisha ujumbe wa chuki alionao tangu zamani dhidi ya serikali sikivu ya CCM, na nchi ya uzao wake Tanzania.

Hata hivyo, anajaribu kuchonganisha na kuharibu uhusiano wa kidiplomasia, kindugu na kiusalama, baina ya serikali ya Kenya na Tanzania, na kwamba zinashirikiana katika kudhoofisha usalama wa wana Africa Mashariki, na kwamba serikali ya Kenya ni dhaifu sana katika usalama wa wanao ishi humo, kiasi kwamba nchi yoyote Afrika Mashariki inaweza kuingia Kenya na kufanya chochote hususani kukamata watu na kufanya uhalifu kenya bila kufanywa chochote na mamlaka za kiusalama za serikali ya Kenya.

Soma Pia:
Ni muhimu sana serikali ya Kenya na Tanzania kujitokeza hadharani na kuwaeleza wana Africa Mashariki, ukweli dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa na watu hawa wasio na nia njema, na mahusiano ya kindugu na ya muda mrefu sana baina ya nchi zetu rafiki, katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ikibidi watimuliwe na warudishwe makwao kwa lazima katika nchi za uzao wao. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
 
LISU ameanza kumtetemeaha Samia. Hapo Lisu ndo hata hajawa mwenyekiti.
 
Weka uthibitisho wa unachokisema.
kuna mdau moja ameandika hivi humu humu jukwaani kuhusu jambo hili :pedroP:

namnukuu;

"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama


mwisho wa nukuu:DisGonBGud:
 
kuna muda nataman kutukana ila xawa bhn..
poromosha matusi tu gentleman,
aliejiteka huko kenya si amewafundisha na atawatetea tu likitokea la kutokea , unaogopa nini sasa na una ujuzi wa kutukana:pedroP:
 
Maelezo yake ni dhahiri ya kupikwa, hayana uhalisia hata kidogo. Script haikuandaliwa vizuri.

Kwakua mwanaharakati huyo amekua akipuuzwa kwa muda mrefu katika masuala mbalimbali anayojaribu kuyaibua kwa manufaa yake binafsi na nia zake ovu, ameona kutumia njia hiyo ya kujiteka ili kuvuta huruma na hisia za watu na mataifa mbalimbali na kujaribu kumfuatilia baada ya kumpuuza sana kwa muda mrefu, akaamua kufanya hivyo ili kuonyesha hila zake dhidi ya Tanzania na kufikisha ujumbe wa chuki alionao tangu zamani dhidi ya serikali sikivu ya CCM, na nchi ya uzao wake Tanzania.

Hata hivyo, anajaribu kuchonganisha na kuharibu uhusiano wa kidiplomasia, kindugu na kiusalama, baina ya serikali ya Kenya na Tanzania, na kwamba zinashirikiana katika kudhoofisha usalama wa wana Africa Mashariki, na kwamba serikali ya Kenya ni dhaifu sana katika usalama wa wanao ishi humo, kiasi kwamba nchi yoyote Afrika Mashariki inaweza kuingia Kenya na kufanya chochote hususani kukamata watu na kufanya uhalifu kenya bila kufanywa chochote na mamlaka za kiusalama za serikali ya Kenya.

Soma Pia:
Ni muhimu sana serikali ya Kenya na Tanzania kujitokeza hadharani na kuwaeleza wana Africa Mashariki, ukweli dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa na watu hawa wasio na nia njema, na mahusiano ya kindugu na ya muda mrefu sana baina ya nchi zetu rafiki, katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ikibidi watimuliwe na warudishwe makwao kwa lazima katika nchi za uzao wao. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania

Hivi huduma ya kupima mkojo ni ghali sana? Maana naamini unaiitaji
 
kuna mdau moja ameandika hivi humu humu jukwaani kuhusu jambo hili :pedroP:

namnukuu;

"Niliwasikia wakiongea na Simu na Boss wao ndipo nami nikawauliza kumbe mna Boss wenu na wakaanza Kuogopa na kuhisi kuwa najua Mipango yao"amesema Mtekwaji wa Dharula nchini Kenya Maria Sarungi.

GENTAMYCINE sijawahi kuona Watekaji wanaomuogopa yule Waliyemteka halafu Wanawasiliana kwa Uwazi mambo yao ya Ndani ya Gari walilombeba Mateka wao / Waliomteka.

Anyways mwaka huu kwakuwa tunataka pia Kutumika Kisiasa ili Wafadhili wetu Watoboke mifuko yao na Maisha yetu yazidi kuwa mazuri huenda tukaona Vituko vingi na Script nyingi za Matukio kuandaliwa vibaya na mikakati Kubuma.

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Uwongo na tena huo Uwongo ukifanywa na Mtu ninayemuamini kutokana na IQ yake kubwa kama


mwisho wa nukuu:DisGonBGud:
Hizo ni hisia tu wala hakuna anaeweza kuthibitisha ni kweli isipokua mtekwaji na watekaji labda pia uchunguzi wa kina ufanyike.
 
Yaani binadamu mpaka mtu utoke damu, au wakukute kwenye kiroba ndio waamini umetekwa.

Wangapi wametekwa hapa mna diffuse Kwa kiwasingizia wamejiteka. Wote wanamini waliotekwa walijiteka Baya liwakute! Wajinga wakubwa.
 
Maelezo yake ni dhahiri ya kupikwa, hayana uhalisia hata kidogo. Script haikuandaliwa vizuri.

Kwakua mwanaharakati huyo amekua akipuuzwa kwa muda mrefu katika masuala mbalimbali anayojaribu kuyaibua kwa manufaa yake binafsi na nia zake ovu, ameona kutumia njia hiyo ya kujiteka ili kuvuta huruma na hisia za watu na mataifa mbalimbali na kujaribu kumfuatilia baada ya kumpuuza sana kwa muda mrefu, akaamua kufanya hivyo ili kuonyesha hila zake dhidi ya Tanzania na kufikisha ujumbe wa chuki alionao tangu zamani dhidi ya serikali sikivu ya CCM, na nchi ya uzao wake Tanzania.

Hata hivyo, anajaribu kuchonganisha na kuharibu uhusiano wa kidiplomasia, kindugu na kiusalama, baina ya serikali ya Kenya na Tanzania, na kwamba zinashirikiana katika kudhoofisha usalama wa wana Africa Mashariki, na kwamba serikali ya Kenya ni dhaifu sana katika usalama wa wanao ishi humo, kiasi kwamba nchi yoyote Afrika Mashariki inaweza kuingia Kenya na kufanya chochote hususani kukamata watu na kufanya uhalifu kenya bila kufanywa chochote na mamlaka za kiusalama za serikali ya Kenya.

Soma Pia:
Ni muhimu sana serikali ya Kenya na Tanzania kujitokeza hadharani na kuwaeleza wana Africa Mashariki, ukweli dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa na watu hawa wasio na nia njema, na mahusiano ya kindugu na ya muda mrefu sana baina ya nchi zetu rafiki, katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ikibidi watimuliwe na warudishwe makwao kwa lazima katika nchi za uzao wao. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Maria Sarungi alitekwa.
 
Au sio? 😹😹
Sasa wakirudi wakianza mapambio ya kumsifu mama utakula wapi??
sasa kama kula yao ni mpaka wa msifu mama,
inanihusu nini mimi kiongozi mzalendo, hodarai na mchapakazia ambae ninaishi kwa Neema na Baraka za Mungu, kupitia akili ile niko nayo, bidii ya kazi za mikono yangu mashambani na huko mavyuoni ndrugo yango mtumishi?:pedroP:
 
Maria bana Hio Abduction imekuwa staged tu Purposes ili Kugain Attention ya Community ameona akifanya hayo maigizo Bongo hapa hayatakuwa vyema
 
Back
Top Bottom