Activist Mtanzania aliedai kutekwa Kenya ni kama vile alijiteka mwenyewe tu ili kuzichonganisha na kuharibu uhusiano wa serikali za Kenya na Tanzania

Activist Mtanzania aliedai kutekwa Kenya ni kama vile alijiteka mwenyewe tu ili kuzichonganisha na kuharibu uhusiano wa serikali za Kenya na Tanzania

Honestly nimesikiliza pia lakini akili yangu ili tia shaka sana sema nikapotezea 😅😅
 
Hizo ni hisia tu wala hakuna anaeweza kuthibitisha ni kweli isipokua mtekwaji na watekaji labda pia uchunguzi wa kina ufanyike.
okey gentleman,
kwahiyo mtekwaji aliwakoromea watekaji wakatishika, right? :pedroP:
 
Yaani binadamu mpaka mtu utoke damu, au wakukute kwenye kiroba ndio waamini umetekwa.

Wangapi wametekwa hapa mna diffuse Kwa kiwasingizia wamejiteka. Wote wanamini waliotekwa walijiteka Baya liwakute! Wajinga wakubwa.
walikosea script ya kujiteka,

wangemshirikisha abdul nondo wa act ingependeza zaid hii movie:pedroP:
 
Hivi huduma ya kupima mkojo ni ghali sana? Maana naamini unaiitaji
infact,
mtekwaji hajafanywa kitu chochote,

na watekaji walimuogopa sana kwa mujibu wa maelezo ya script writer mwenyewe:pedroP:
 
Maelezo yake ni dhahiri ya kupikwa, hayana uhalisia hata kidogo. Script haikuandaliwa vizuri.

Kwakua mwanaharakati huyo amekua akipuuzwa kwa muda mrefu katika masuala mbalimbali anayojaribu kuyaibua kwa manufaa yake binafsi na nia zake ovu, ameona kutumia njia hiyo ya kujiteka ili kuvuta huruma na hisia za watu na mataifa mbalimbali na kujaribu kumfuatilia baada ya kumpuuza sana kwa muda mrefu, akaamua kufanya hivyo ili kuonyesha hila zake dhidi ya Tanzania na kufikisha ujumbe wa chuki alionao tangu zamani dhidi ya serikali sikivu ya CCM, na nchi ya uzao wake Tanzania.

Hata hivyo, anajaribu kuchonganisha na kuharibu uhusiano wa kidiplomasia, kindugu na kiusalama, baina ya serikali ya Kenya na Tanzania, na kwamba zinashirikiana katika kudhoofisha usalama wa wana Africa Mashariki, na kwamba serikali ya Kenya ni dhaifu sana katika usalama wa wanao ishi humo, kiasi kwamba nchi yoyote Afrika Mashariki inaweza kuingia Kenya na kufanya chochote hususani kukamata watu na kufanya uhalifu kenya bila kufanywa chochote na mamlaka za kiusalama za serikali ya Kenya.

Soma Pia:
Ni muhimu sana serikali ya Kenya na Tanzania kujitokeza hadharani na kuwaeleza wana Africa Mashariki, ukweli dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa na watu hawa wasio na nia njema, na mahusiano ya kindugu na ya muda mrefu sana baina ya nchi zetu rafiki, katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ikibidi watimuliwe na warudishwe makwao kwa lazima katika nchi za uzao wao. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania

Bila shaka hii ni kauli toka chama mboga mboga. Vipi wenzenu wale wa Mwamba na wafuasi wake mliokuwa mkiserebuka nao wamenena lolote?

Au hii ni kwa niaba ya wote?

Cc: fazila, Fortila
 
Maelezo yake ni dhahiri ya kupikwa, hayana uhalisia hata kidogo. Script haikuandaliwa vizuri.

Kwakua mwanaharakati huyo amekua akipuuzwa kwa muda mrefu katika masuala mbalimbali anayojaribu kuyaibua kwa manufaa yake binafsi na nia zake ovu, ameona kutumia njia hiyo ya kujiteka ili kuvuta huruma na hisia za watu na mataifa mbalimbali na kujaribu kumfuatilia baada ya kumpuuza sana kwa muda mrefu, akaamua kufanya hivyo ili kuonyesha hila zake dhidi ya Tanzania na kufikisha ujumbe wa chuki alionao tangu zamani dhidi ya serikali sikivu ya CCM, na nchi ya uzao wake Tanzania.

Hata hivyo, anajaribu kuchonganisha na kuharibu uhusiano wa kidiplomasia, kindugu na kiusalama, baina ya serikali ya Kenya na Tanzania, na kwamba zinashirikiana katika kudhoofisha usalama wa wana Africa Mashariki, na kwamba serikali ya Kenya ni dhaifu sana katika usalama wa wanao ishi humo, kiasi kwamba nchi yoyote Afrika Mashariki inaweza kuingia Kenya na kufanya chochote hususani kukamata watu na kufanya uhalifu kenya bila kufanywa chochote na mamlaka za kiusalama za serikali ya Kenya.

Soma Pia:
Ni muhimu sana serikali ya Kenya na Tanzania kujitokeza hadharani na kuwaeleza wana Africa Mashariki, ukweli dhidi ya upotoshwaji unaoenezwa na watu hawa wasio na nia njema, na mahusiano ya kindugu na ya muda mrefu sana baina ya nchi zetu rafiki, katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ikibidi watimuliwe na warudishwe makwao kwa lazima katika nchi za uzao wao. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Huyo mama ana stress mbaya sana
 
Bila shaka hii ni kauli toka chama mboga mboga. Vipi wenzenu wale wa Mwamba na wafuasi wake mliokuwa mkiserebuka nao wamenena lolote?

Au hii ni kwa niaba ya wote?

Cc: fazila, Fortila
aliejiteka alikua anajilazimisha kutoa machozi mbele ya kamera halafu machozi yanagoma kutoka?

maigizo ya kujiteka ni magumu sana aise:pedroP:
 
Back
Top Bottom