Activist Mtanzania aliedai kutekwa Kenya ni kama vile alijiteka mwenyewe tu ili kuzichonganisha na kuharibu uhusiano wa serikali za Kenya na Tanzania

Honestly nimesikiliza pia lakini akili yangu ili tia shaka sana sema nikapotezea πŸ˜…πŸ˜…
 
Hizo ni hisia tu wala hakuna anaeweza kuthibitisha ni kweli isipokua mtekwaji na watekaji labda pia uchunguzi wa kina ufanyike.
okey gentleman,
kwahiyo mtekwaji aliwakoromea watekaji wakatishika, right?
 
Yaani binadamu mpaka mtu utoke damu, au wakukute kwenye kiroba ndio waamini umetekwa.

Wangapi wametekwa hapa mna diffuse Kwa kiwasingizia wamejiteka. Wote wanamini waliotekwa walijiteka Baya liwakute! Wajinga wakubwa.
walikosea script ya kujiteka,

wangemshirikisha abdul nondo wa act ingependeza zaid hii movie
 
Hivi huduma ya kupima mkojo ni ghali sana? Maana naamini unaiitaji
infact,
mtekwaji hajafanywa kitu chochote,

na watekaji walimuogopa sana kwa mujibu wa maelezo ya script writer mwenyewe
 

Bila shaka hii ni kauli toka chama mboga mboga. Vipi wenzenu wale wa Mwamba na wafuasi wake mliokuwa mkiserebuka nao wamenena lolote?

Au hii ni kwa niaba ya wote?

Cc: fazila, Fortila
 
Huyo mama ana stress mbaya sana
 
Bila shaka hii ni kauli toka chama mboga mboga. Vipi wenzenu wale wa Mwamba na wafuasi wake mliokuwa mkiserebuka nao wamenena lolote?

Au hii ni kwa niaba ya wote?

Cc: fazila, Fortila
aliejiteka alikua anajilazimisha kutoa machozi mbele ya kamera halafu machozi yanagoma kutoka?

maigizo ya kujiteka ni magumu sana aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…