Mkulu wa nchito,haaaaa.
Samahani,kwa blog yangu hii ya kiswahili nina post 12 na traffic ya visitors 430 kwa mwezi huu.
Niweke matangazo ya kampuni gani nitapata ela..?,maana propperads na Adstera zinanizingua,sijapata na dollar 1 nina 0.01 mwezi mzima.
Au mimi ndo nazingua,naomba unishauri hapa Mkulu wa Nchito.
Mkulu wa nchito,haaaaa.
Samahani,kwa blog yangu hii ya kiswahili nina post 12 na traffic ya visitors 430 kwa mwezi huu.
Niweke matangazo ya kampuni gani nitapata ela..?,maana propperads na Adstera zinanizingua,sijapata na dollar 1 nina 0.01 mwezi mzima.
Au mimi ndo nazingua,naomba unishauri hapa Mkulu wa Nchito.
Jamani habari nimekua nikitafuta kampuni bora ya matangazo ambayo ingenilipa vizuri kama google adsense hii ni baada ya kukataliwa na google adsense kutokana content language
ambayo ni kiswahili nimejiunga mingi ila ambayo niliipenda ni
ADSTERRA
huyu alikuwa wa moto mpaka naearn my first $1 niliona mafanikio
uzi huu nimeuleta kwa ambao hawajapata matangazo katika blog au tovuti
SIFAZAO:
NO MINIMUM VISITORS yan hata ukiwa na views 0 safi tu
INSTANT APROVAL yan hapo hapo unapojiunga unakubaliwa
link ya kujiunga hiii apo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.