Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Aseeh niwe mkweli....... watoto waliosoma English medium sijui ama private zinaelewa zinafanya watoto wake kwenye kuongea aseeh humkamatii .........
Nina mifano tele...... nimemaliza karibuni tuu chuo lakini utakuta kwenye presentation mnatafuta wanao flow fluent english regardless hajui lakini lazima muwaandae ili kuonekana vizuri 👊
St kayumba fluent English ujitoe kweli kwanza honestly mtu umesoma uchagani form one mpk fom four..... Japo masomo ni English lkn ukitoka hapo ni kichaga tuu ........ ama kii raqw ama kisukuma sana sana tunaweza kiingereza cha ku ji defend kwenye mtihan Ila tufanye seriously convo ndo tunaishia yeah..... no
wakati hizo hazitakiwi kujua english ni jambo jingine na kupata maarifa ya shuleni ni jambo jingine.....
kama english sio kivutio mweke hapo mtoto wa feza primary na bunge primary magogoni uone shoo......
Kikubwa mtoto apate elimu nzuri kwa uwezo ulionao basii....
Nina mifano tele...... nimemaliza karibuni tuu chuo lakini utakuta kwenye presentation mnatafuta wanao flow fluent english regardless hajui lakini lazima muwaandae ili kuonekana vizuri 👊
St kayumba fluent English ujitoe kweli kwanza honestly mtu umesoma uchagani form one mpk fom four..... Japo masomo ni English lkn ukitoka hapo ni kichaga tuu ........ ama kii raqw ama kisukuma sana sana tunaweza kiingereza cha ku ji defend kwenye mtihan Ila tufanye seriously convo ndo tunaishia yeah..... no
wakati hizo hazitakiwi kujua english ni jambo jingine na kupata maarifa ya shuleni ni jambo jingine.....
kama english sio kivutio mweke hapo mtoto wa feza primary na bunge primary magogoni uone shoo......
Kikubwa mtoto apate elimu nzuri kwa uwezo ulionao basii....