Ada na gharama za kumsomesha mtoto English medium kwa miaka 4 ni milioni 10. Atachoambulia huko unakipata kwa Ras Simba kwa mwezi mmoja tu kwa laki 2

Ada na gharama za kumsomesha mtoto English medium kwa miaka 4 ni milioni 10. Atachoambulia huko unakipata kwa Ras Simba kwa mwezi mmoja tu kwa laki 2

Hivyo vitu ulivyotaja havipo kwenye shule za serikali?
Kwa Ras Simba nimeongelea issue ya English language
Sijasema kwenye shule za serikali havipo?Ni uwezo na maamuzi ya mzazi tu. Kwani serikali haina hizo shule za English medium?Nimeona hoja yako imeegemea zaidi kwenye lugha ukasahau wazazi hawapeleki huko kwa ajili ya kiingereza tu.
 
Ada tuweke 1.5 m

Uniforms, usafiri na vikorokoro vingine tuweke 1ml . Jumla milioni 2.5, mara 4 ni milioni 10. Hiyo ni minimum.

Hapo hatujagusa hizi International schools ambapo kwa miaka 4 hamna hamna milioni 20 inakwenda.

Form one mpaka form four nimesoma shule ambayo kulikuwa na wanafunzi wachache waliosoma English medium schools, walichotupita ni debate tu hasa ile debate ya awali kabisa.

Wale watoto hata kumi bora ilikuwa huwezi kuwakuta. Baadaye level of English fluency tukawa sawa.

Nimeenda advance nimekutana na wanafunzi ambao primary na secondary wamesoma kwenye shule za private, hawakuwa na maajabu.

Chuo nako vilevile, hajulikani aliyesoma royal schools wala hizi mushroom schools.

Kwa ambao wamemaliza sekondari au chuo kikuu na hawajui kuongea Kiingereza vizuri Ras Simba anaweza kuwanoa kwa gharama ndogo sana chini ya laki 5 kwa muda mfupi tu.

Hata mwezi mmoja unatosha kabisa.

Sasa tuseme nini ?

English medium schools ni kwaajili ya watoto vilaza au ni kwa ajili ya wazazi wasio na uelewa?”
Huna akili
 
Kabla hujafikiria gharama za kusomesha mtoto English medium Kwa mwaka,
Anza na gharama za kula yako na family yako Kwa mwaka shilling ngapi?

Je ni bora ushindie kula maembe na mihogo ya kukaanga usave pesa au ule mlo mzuri japokuwa ni gharama?
 
Unaweza mfundisha mwenyewe kusoma na kuandika kuepuka gharama zingine afu ukamfungulia biashara aendeshe, matajiri wengi hawajasoma sana, kupanga ni kuchagua.
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom