hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 469
- 324
Habarini wana JF, jamani kuna chuo kipya cha Mwanza university nimeona ada ni milioni 8 kwa local citizens[emoji174][emoji17]. Hivi haiwezekani serikali kuregulate ada kwa vyuo vya afya?
Maana tusio na uwezo tunakoma sana.
Maana tusio na uwezo tunakoma sana.