hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 469
- 324
- Thread starter
- #21
Kaamka kupika dataHio MUHAS gani umesoma mkuu? Nmesoma MUHAS nmegraduate 2019. hio ada umetaja ni almost mara nne ya ada halisi.
Usi exaggerate vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaamka kupika dataHio MUHAS gani umesoma mkuu? Nmesoma MUHAS nmegraduate 2019. hio ada umetaja ni almost mara nne ya ada halisi.
Usi exaggerate vitu
Muhimbili gani hiyo? Au unazungumzia mwimbiliSasa ajabu iko wapi Bugando 7.2m kairuki 7.5m muhimbili 6m kampala University 7.6m hiyo ndo ada ya hiyo kozi ya medicine
Ulizia wanao rejesha mkopo wanarudisha ngapi?Muhimbili gani hiyo? Au unazungumzia mwimbili
Unajua riba?maana yake?na unajua mkopo inajumuisha nini.Ulizia wanao rejesha mkopo wanarudisha ngapi?
Najiona mmNilipangiwa MD Chuo cha IMTU, aisee. Shikamoo. Nakumbuka ada ilikua $6,500 hivi. Hafu HESLB wananilipia 100% tuition fee ambayo kumbe ina limit, ilikua kama Mil 2.8, kwahiyo iliyobakia alipie mshua.
Tungeuza hadi vijiko aisee. Ndoto za Udaktari zikapotea kama ivo.
Acha tu mkuuNajiona mm
Zamani ilikua unajulikana kama chuo Cha afya tandabui, haikua na tofauti na vitaasisi kama zayon au Kilimanjaro driving schoolis this a new institution, I have never heard of it!
So Tandabui ndo Mwanza Univ kwa sasa? Kuna ghorofa hapa jirani na salama cone kitambo kulikuwa na bango juu la Mwanza unv ila wao walikuwa na deal na AviationZamani ilikua unajulikana kama chuo Cha afya tandabui, haikua na tofauti na vitaasisi kama zayon au Kilimanjaro driving school
Tandabui kilisusiwa na kukejeliwa kuwa ni hopeless chuo. nadhani ndiyo akabadili jina. All in all, nani alimoa kibali cha kuiita Univrsity?Zamani ilikua unajulikana kama chuo Cha afya tandabui, haikua na tofauti na vitaasisi kama zayon au Kilimanjaro driving school
ExactlySo Tandabui ndo Mwanza Univ kwa sasa? Kuna ghorofa hapa jirani na salama cone kitambo kulikuwa na bango juu la Mwanza unv ila wao walikuwa na deal na Aviation
TCU mkuuTandabui kilisusiwa na kukejeliwa kuwa ni hopeless chuo. nadhani ndiyo akabadili jina. All in all, nani alimoa kibali cha kuiita Univrsity?