Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka bweni ukwepe usafiri
Bweni kayumba au bweni wapi🤔Peleka bweni ukwepe usafiri
Kayumba au private?Ukiwa na watoto wanne sekondari lazima uimbe huu wimbo "nobody can stop reggae cause reggae is strong"
Sio kayumba wala private kote ada yake lazima uyumbe yumbe!Kayumba au private?
Bweni kayumba au bweni wapi🤔
... hilo bweni linalipiwa hata kama lilishajengwa 10 yrs ago linalipiwa. Kitanda ni ghali kuliko usafiri kwa taarifa yako.Peleka bweni ukwepe usafiri
Acha vipande tu maana Mama keshasema kila kitu kitapanda bei.Wapi pa kukimbilia?
Mafuta yameathiri kila mtu.
Kwa serikali hii?
Kazi kwake mlaji wa mwisho!
... mbona mnaongea vitu ambavyo in reality ni impossible?Nikimnunulia baiskeli na kama sitaki ale chakula cha shule itakuwaje?
Kwanini wewe enzi unasoma ulikuwa unakula shuleni? Ila kama shule iko dar hilo halikwepeki ila kama ni mkoani linawezekana maana shule nyingi ziko jirani mtoto ananyonga pedeli hadi shule bila wasiwasi... mbona mnaongea vitu ambavyo in reality ni impossible?
Mimi nimekushauri jinsi ya kupunguza cost... hilo bweni linalipiwa hata kama lilishajengwa 10 yrs ago linalipiwa. Kitanda ni ghali kuliko usafiri kwa taarifa yako.
Nikimnunulia baiskeli na kama sitaki ale chakula cha shule itakuwaje?
Mkuu kuna elimu bure upande wa pili!Ukiwa na watoto wanne sekondari lazima uimbe huu wimbo "nobody can stop reggae cause reggae is strong"
Alikuambia nani bongo kuna elimu bure? au propaganda?Mkuu kuna elimu bure upande wa pili!
Furaha inatoweka kabisa kwenye familia. Na wenye nazo angalau kidogo wanachukiwa bila sababu. Maovu na uhalifu pia yanaongezeka kwenye Jamii.Ukiwa na watoto wanne sekondari lazima uimbe huu wimbo "nobody can stop reggae cause reggae is strong"