Wee endelea tu kuringishia watu na mi jack daniels za offer na zakupewa. Utarogwa bure kumbe huna kitu. Nakufa kapuku wa kutupwa.Kwanini wewe enzi unasoma ulikuwa unakula shuleni? Ila kama shule iko dar hilo halikwepeki ila kama ni mkoani linawezekana maana shule nyingi ziko jirani mtoto ananyonga pedeli hadi shule bila wasiwasi