Wee endelea tu kuringishia watu na mi jack daniels za offer na zakupewa. Utarogwa bure kumbe huna kitu. Nakufa kapuku wa kutupwa.Kwanini wewe enzi unasoma ulikuwa unakula shuleni? Ila kama shule iko dar hilo halikwepeki ila kama ni mkoani linawezekana maana shule nyingi ziko jirani mtoto ananyonga pedeli hadi shule bila wasiwasi
Hata Mimi nimeshangaa. Ada zinapanda desembaAda zinapandaje katikati ya mwaka?
Mama hajui baadhi ya wapinzani wake watarajiwa wa 2025 wengine kawapa jukumu lakuweka uchumi sawa sawa.
Mambo yanaenda mrama kila kukicha!Furaha inatoweka kabisa kwenye familia. Na wenye nazo angalau kidogo wanachukiwa bila sababu. Maovu na uhalifu pia yanaongezeka kwenye Jamii.
Hata Mimi nimeshangaa. Ada zinapanda desemba
Mkuu siyo bongo tu hata nchi zilizoendelea. Leo nimeshuhudia foleni karibu kilomita mbili wanapogawa chakula cha bure. Zamani nikipata hapo foleni fupi Sana. Hali ni mbaya. Sasa nigger upite na ndinga kali mbele yao utatukanwa wazi wazi ni muuza madawa mkwepa kodi na utasikia tu sauti za nyati ilimradi wafarijike na wakuumize nafs.Mambo yanaenda mrama kila kukicha!
Hata Mimi nimeshangaa. Ada zinapanda desemba
Hivi kwa sababu nchi zilizoendelea maisha magumu basi nasi hatuna budi ku roll-over and take it?...Kuna watu watafanya udhalimu kwa utetezi wa kauli hiyo ulioandika.Mkuu siyo bongo tu hata nchi zilizoendelea. Leo nimeshuhudia foleni karibu kilomita mbili wanapogawa chakula cha bure. Zamani nikipata hapo foleni fupi Sana. Hali ni mbaya. Sasa nigger upite na ndinga kali mbele yao utatukanwa wazi wazi ni muuza madawa mkwepa kodi na utasikia tu sauti za nyati ilimradi wafarijike na wakuumize nafs.
Mkuu siyo bongo tu hata nchi zilizoendelea. Leo nimeshuhudia foleni karibu kilomita mbili wanapogawa chakula cha bure. Zamani nikipata hapo foleni fupi Sana. Hali ni mbaya. Sasa nigger upite na ndinga kali mbele yao utatukanwa wazi wazi ni muuza madawa mkwepa kodi na utasikia tu sauti za nyati ilimradi wafarijike na wakuumize nafs.
Your life ur choice!