ada za udsm postgraduate na masters zapaa juu maradufu!

ada za udsm postgraduate na masters zapaa juu maradufu!

Kwa taarifa yako UD hawajawai kutoa ada za master na PHD kufuatana na km chuo cha umma, wanatoa undergraduate kama chuo cha umma lakini level zingine wanasema ni anasa ndiyo maana wanawakamua sana wanalalahoi.Nenda Mzumbe vodafasta so long as master zao zinatambuliwa hahahaha

Pamoja na hayo Mkuu huoni kuwa kwa kufanya hivyo wanatengeneza mazingira ya watu wenye uwezo wa juu kielimu na wenye nia ya kutumia kodi yao kama ruzuku ya kupunguziwa ada kama watanzania kuwa madaktari kukosa nafasi hiyo na ukizingatia kuwa hiki ndicho chuo kinachoaminika Afika Mashariki na Kati kwa elimu bora?
 
kuna mtu alisema mda mrefu uliota kuwa kuna kimkakat ka kufanya tanzania ya wasomi wachache na mamburura kibao. naanza kuamin sasa
 
Million 8 si bora nkasome Coventry au Strathclyde

Thubutu! jaribu uone, unazo Pauni 20,000/= kwa mwaka? Badilisha yawe madafu uone. Mbona Mzumbe ada ziko juu halafu hamlalami, ukiona elimu ni ghali basi jaribu ujinga.
 
mmmmh naona elimu imekuwa ghaali mno, naona inabidi kujipanga ili kuweza kusoma kwa amani coz that amount is too big kwa mtz wa kawaida ku afford, so i think wangefkiria mara 2 b4 duin dat.
ngoja tujipange but kwa gharama hyo bora nikasomee nje.
 
kwa mnaolalama, kwani mlilazimishwa au ni lazima kusoma hapo ud?umeshindwa ada acha kulalama chapa lapa katafute chuo kingine.
 
kwa waliopata admissions za hizo post ada imepanda zaidi ya nusu ya iliyokuwepo kwa sasa post graduate ni 4400000 kwa mwaka na masters ni 8000000! Kaazi kweli!

tuition fee
1.pgd=fee ni kati ya tsh 3,250,000/= na 4,250,000/= inategemea ni course gani
2.masters (18 months) ni kati ya tsh 4,875,000/= na tsh 6,375,000/= depends on the course
3.masters (24 months) ni kati ya tsh 6,500,000/= na 8,500,000/= depends on the course

nina-admission ya master of arts in revenue law and administration (tsh 6,375,000/=) ni maeneo yapi mtu unaweza fit na kuitumia hiyo elimu apart from tra.

Unaweza anzisha tax firm (tax consultant firm) kwa kutumia cheti hicho?
 
Thubutu! jaribu uone, unazo Pauni 20,000/= kwa mwaka? Badilisha yawe madafu uone. Mbona Mzumbe ada ziko juu halafu hamlalami, ukiona elimu ni ghali basi jaribu ujinga.

Ujinga kama wako au vp? Nenda pale IFM ulizia ada ya Kusoma MSc. Strathclyde kama inafika pound 20,000 .. Coventry wanatoa Master yao kupitia AIA tawi la Arusha na Dar jumla kila kitu million 15 hapo na hostel nimepanga si kila mtu yuko less informed km kichwa chako.
 
Ujinga kama wako au vp? Nenda pale IFM ulizia ada ya Kusoma MSc. Strathclyde kama inafika pound 20,000 .. Coventry wanatoa Master yao kupitia AIA tawi la Arusha na Dar jumla kila kitu million 15 hapo na hostel nimepanga si kila mtu yuko less informed km kichwa chako.
Unazungumzia Coventry halafu unabaki Arusha, shit! Kasome sasa huko. Unafikiri mimi siko exposed kiasi hicho, unamdanganya nani?
 
Du aisee hii kazi kweli kweli ngoja nifuatilie kwa sie tuanoingia mwaka wa pili kama hawajaongeza nisije shindwa kukimalizia kijimasters changu
 
Kwani chuo ni UD peke yake jamani, acheni kulalama
Mkuu that is another "thinking within the box". Waache waendelee kushangaa na hizo ada wakati wenzao vyuo vingine wanachanja mbuga na mitaani watakuwa wote kwenye kula bata.
 
kweli Ud wamua lkn tusilalamike sans sasa ndo kipind cha kuangalia elim itolewayo =ada ?
 
Nadhani watz tunaandaliwa kuwa na elimu za kuuzia vitumbua tu, kama wao wameanza ni wazi na wengine watafuata inamaana vijana wetu wengi wengi wanaomaliza shule za kata kila mwaka wataishia shahada za kwanza tu.
 
Pamoja na hayo Mkuu huoni kuwa kwa kufanya hivyo wanatengeneza mazingira ya watu wenye uwezo wa juu kielimu na wenye nia ya kutumia kodi yao kama ruzuku ya kupunguziwa ada kama watanzania kuwa madaktari kukosa nafasi hiyo na ukizingatia kuwa hiki ndicho chuo kinachoaminika Afika Mashariki na Kati kwa elimu bora?

Hiyo Africa Mashariki na kati waisema wewe,kwani uliambiwa ukisoma UD ndiyo ajira nje nje?Mbona kuna watu wamesoma vile vyuo ambavo majengo yake yalikuwa ya chekecchea na mengine ya secindari na mengine yalikuwa ya shirika la TANESCO sasa wana nafasi nzuri serikalini na kwenye mashirika ya maana.Siku hizi degree ni degree wala hawaangalii umeipatia wapi
 
tuition fee
1.pgd=fee ni kati ya tsh 3,250,000/= na 4,250,000/= inategemea ni course gani
2.masters (18 months) ni kati ya tsh 4,875,000/= na tsh 6,375,000/= depends on the course
3.masters (24 months) ni kati ya tsh 6,500,000/= na 8,500,000/= depends on the course

nina-admission ya master of arts in revenue law and administration (tsh 6,375,000/=) ni maeneo yapi mtu unaweza fit na kuitumia hiyo elimu apart from tra.

Unaweza anzisha tax firm (tax consultant firm) kwa kutumia cheti hicho?

Unaweza kabisa mkuu, muhimu ni motivation yako. Hata hivyo ulipaswa kufanya analysis mapema kabla hata hauja-apply kuona kama content za kozi husika zinakidhi unachotaka kukifanya baada ya shule.
 
Hiyo Africa Mashariki na kati waisema wewe,kwani uliambiwa ukisoma UD ndiyo ajira nje nje?Mbona kuna watu wamesoma vile vyuo ambavo majengo yake yalikuwa ya chekecchea na mengine ya secindari na mengine yalikuwa ya shirika la TANESCO sasa wana nafasi nzuri serikalini na kwenye mashirika ya maana.Siku hizi degree ni degree wala hawaangalii umeipatia wapi

Mkuu haya unayoyasema ni faraja kwa wanaosoma kwenye vyuo husika. Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba competency ya wahitimu hao wengi ina walakini.

Utafiti unaonyesha kwa mfano, wanasheria wa hivi vyuo chipukizi wengi hawafanyi vizuri field.

Hiyo haimaanishi kuwa hawapandi vyeo makazini hata hivyo. Ila pakiwa na mazingira yanayodai weledi wa kwelikweli hapo ndipo kazi inapoanzia.

Pamoja na hayo mwisho wa siku kitakachokutoa ni vipaji binafsi; determination na bidii. Elimu ni nyongeza.
 
Hiyo Africa Mashariki na kati waisema wewe,kwani uliambiwa ukisoma UD ndiyo ajira nje nje?Mbona kuna watu wamesoma vile vyuo ambavo majengo yake yalikuwa ya chekecchea na mengine ya secindari na mengine yalikuwa ya shirika la TANESCO sasa wana nafasi nzuri serikalini na kwenye mashirika ya maana.Siku hizi degree ni degree wala hawaangalii umeipatia wapi

daaah,nasikitika kwa kuwa nafikiri hatuelewani mkuu,kazi njema kaka ngoja niendelee kuhudumia kuku wangu wanenepe nilenge wateja wa Idd kuliko kuendelea kubishana hivi wakati mwenzangu unaingiza, asubuhi njema bro!!
 
Back
Top Bottom