Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kama kuna watu ni kauzu basi huyu nimemkubali! Baada ya kuachana na mke wake kwa talaka hii Njemba imedai kuwa irejeshewe Figo ambayo aliitoa akawekewa aliyekua mke wake huyu.
Anasema jamaa anayemchukua basi yeye ndio ataoe figo....no free lunch!
Anasema jamaa anayemchukua basi yeye ndio ataoe figo....no free lunch!