MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 423
- 430
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Dahh eti au mtoto yatima[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Unampaje mwanamke figo kwanza! Mchizi kazingua parefu sana! Wakumpa ni mama yako,dada yako au mtoto yatima.
Alivyo mnafiki anaweza kujifanya kurudi kwa mshkaji. Ila mademu buana ni Actors wakubwa especially wanapokua na kitu wanataka kutoka kwako. Utaitwa kila jina refer Samson vs DalilahOhooooo! kumekucha mrembo inabidi arudishe Figo ya watu. 😂😂😂😂
Wabheja sanaihiiiii...neyo bhabehi abhanhu bhasala gete,wewe mtu unaanzaje kutoa kiungo chako kumpa mwingine,hio si kumwingilia MUNGU kweli?nose yagogelela goseka doho!!kikombe hiki kinipite mbali#obheja
Hahahaha kakosa cha kuhonga MpwaDah huyu kiboko kaonga figo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji38][emoji38] Achana na hela maana zingine zina laana.hapana usinipe moyo wako bhana nipe hela zako tu
Unampaje mwanamke figo kwanza! Mchizi kazingua parefu sana! Wakumpa ni mama yako,dada yako au mtoto yatima.
ndo nazipenda maana mioyo mingine imepondeka[emoji38][emoji38] Achana na hela maana zingine zina laana.
hahahah,eyo nkoi onyelile gete.....hakuna sura mbaya mkuu,kila sura inamfaa mtu fulan,unayemwita mrembo wew kwa fulan ni monkey tu!!lekaga etuja ongw'ise hahahahWabheja sana
Kwani mdaiwa figo yeye hakustarehe?Amestarehe sana juu ya kiuno chake karibu miongo miwili! Apotezee tu!
Sijui hata.Kwani mdaiwa figo yeye hakustarehe?
Kama hujui, ni bora ukae kimya, kuliko kutetea usilolijua...Sijui hata.
Kwan wapi nimeongea?Kama hujui, ni bora ukae kimya, kuliko kutetea usilolijua...
HII STATEMENT.... Amestarehe sana juu ya kiuno chake karibu miongo miwili! Apotezee tu! ... UMEITOA WEWEKwan wapi nimeongea?