Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Wewe ungeweza?Basi sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungeweza?Basi sawa
labda kabla ya kunipa tuandikishiane😂Sitanii. Wewe ngoja nikupe halafu utishie kuniacha ndio utaelewa.
aaaah mi siji kujaribu ata siku mojaMapenzi
Hahahahaaaah mi siji kujaribu ata siku moja
Aaghh ningeweza tu rafiki kinyonge hivyo hivyo tuWewe ungeweza?
Hahahaha dahlabda kabla ya kunipa tuandikishiane😂
HahahaAaghh ningeweza tu rafiki kinyonge hivyo hivyo tu
vinginevyo ukinipa sikurudishii ng'oooHahahaha dah
Subutuuuu lete jeuri uone, naondoka hadi na nanihii zako, asali yako! Tukose wote!vinginevyo ukinipa sikurudishii ng'ooo
Hahahaha hutaki maneno mengi MpwaNa amini huyo mwanamke asingeweza kumtolea figo endapo ingekuwa huyo mwanaume ndio anaihitaji.
Jamaa akachukue tuu figo yake .
Kama kuna watu ni kauzu basi huyu nimemkubali! Baada ya kuachana na mke wake kwa talaka hii Njemba imedai kuwa irejeshewe Figo ambayo aliitoa akawekewa aliyekua mke wake huyu.
Anasema jamaa anayemchukua basi yeye ndio ataoe figo....no free lunch!
View attachment 1492587
Hakika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vitu kuvitoa inahitaji uwe na moyo wa mitume ya zamani.
Mapenzi mama, mimi mwenyewe nipo njiani nikukabidhi moyo wangu cute eyes unasemaje?sijui watu huwa wanathubutuje
Kwasasa siwezi toa tamko la ndiyo au hapana..muda utaongea.