Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Dah hahahahTena Mimi ningedai hako ka Figo na kakongosho Kama sehemu ya malipo yangu..😅
Wewe huwezi kutoa?😂😂😂😂
Kuna vitu kuvitoa inahitaji uwe na moyo wa mitume ya zamani.
Hahahaha Kisa tu mshkaji asiende kufaidi??Hata mimi ningedai figo yangu.
Hamna, kuna wakati aliuguza kwahio ilibidi amsubirie hadi apone vizuri, halafu ukute alikua hata nje haibi kisha unakuja kuachikaAmestarehe sana juu ya kiuno chake karibu miongo miwili! Apotezee tu!
Hata mimi ningedai figo yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vitu kuvitoa inahitaji uwe na moyo wa mitume ya zamani.
Unampaje mwanamke figo kwanza! Mchizi kazingua parefu sana! Wakumpa ni mama yako,dada yako au mtoto yatima.Hamna, kuna wakati aliuguza kwahio ilibidi amsubirie hadi apone vizuri, halafu ukute alikua hata nje haibi kisha unakuja kuachika
DahUnampaje mwanamke figo kwanza! Mchizi kazingua parefu sana! Wakumpa ni mama yako,dada yako au mtoto yatima.
Hahahaha kwani wewe ni Me kumbe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe akili zenu zinafanana duniani kote[emoji134][emoji134]
Kilichokwenda kwa mganga hakirudi.
Mapenzisijui watu huwa wanathubutuje
Kwasasa siwezi toa tamko la ndiyo au hapana..muda utaongea.Wewe huwezi kutoa?
Sitanii. Wewe ngoja nikupe halafu utishie kuniacha ndio utaelewa.unasema kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawaKwasasa siwezi toa tamko la ndiyo au hapana..muda utaongea.