Tetesi: Adaiwa kuficha tani tele za sukari Moshi

hamna mwenye jeuri hiyo maana biashara ya chakula market size yake ni kubwa zaidi ya bakhressa na gulam dewji wa METL
Lakini mpaka hapo naamini kuwa amepata mbadala wa kumfanyia kazi huyu jamaa. Kaua watu wengi sana, huyu jamaa anajulikana kwa kuagiza sukari mbovu na ndiye nadhani magufuli alikua anamzungumzia. Huko nyuma sukari yake iliunguzwa moto lakini watu walikufa pia katika mazingira ya kutatanisha, kuanzia mkemia na hata maaskari huyu ni Mafia ila moto huu wa Magufuii lazima ataungua nao.
 
Swali kuntu ni je ataweza kupambana na MO??
 


Maswali yako yote yanajibiwa na article hiyo hapo juu
 
Maswali yako yote yanajibiwa na article hiyo hapo juu
Haya, baada ya kuonekana kuna sheria, ni nani mwenye mamlaka ya kuthibitisha kuwa sheria imevunjwa? Ni nani anayethibitisha kuwa huyu ameitunza sukari ili aje aiuze kwa bei ya juu AU ni kwa ajili ya malighafi ya bidhaa anazozalisha? Ni nani mwenye mamlaka ya kutoa adhabu kwa mkosaji? Nani anathibitisha kuwa sukari ipo stocked lawful or unlawful? Kugawiwa bure kwa sukari sio hukumu na adhabu hiyo? Nasubiri jibu
 

Kasome kitu kinaitwa "Commodity Hoarding" and "Laws and Economy of commodity hoarding" haswa kwenye food commodities..
 
Uenyekiti si ndo huo JK kang'ang'ania???. Pagumu sana huko ccm.... CCM ina wenyewe na JPM hajawahi kuwa kwenye hilo kundi la wenyewe.....
......Ila AKIINGIA atakuwa Mwenyewe wa Chama na WENYEWE orijino hawatakuwa tena WENYEWE..
 

Mtatafuta nchi ya kwenda kufanya huo upuuzi wenu. Walah naapa mtahama msipokubaliana nasheria za nchi hii. Siyo lazima mfanye biashara hapa kwetu.
 

Umezungumza vema ndugu yangu
 
Mkuu wakati mwingine ni vyema kukaa kimya kuliko kuchangia,unajua sheria inasema nini kuhusu commodity hoarding during scarcity? Unataka utawala wa sheria wakati unatetea uvunjifu wa sheria!
 
mkuu we ndo huna ujualo....nadhani ii ishu ni very minor we huoni ishu kama hii anaitolea tamko huko barabarani na watekelezaji wake ni kamati za usalama za mkoa....kifupi Tanzania sio kichaka cha bush beparis tunataka modern ambao wanatambua social responsibilities!!
 

Mydear Ni kweli sukari iliyo expire iliingia nchini na hao TFDA na TBS wakiwepo na ilitumiwa na watanzania nikiwemo Mimi Kwa bei unayoita Ni rahisi kabisa na tulitumia sukari za viwandani (pipi na vinywaji) Kwa kutumia Kwa chai Kwa sababu zilimwagwa hovyo mitaani na hao TBS na TFDA walitumia pia majumbani kwao
Na bandari inayopitisha mizigo yote Ndio Hiyo Hiyo ilinuka kabisa ukwepaji kodi wa hadharani ambako na Hiyo sukari ilipita. Ni utetezi hafifu Sana umejitahidi kutoa Kwenye hili ndugu Ni wazi hawa afanyabiashara wakubwa wa sukari wasigeuze shingo zao kujifanya hayawahusu wanahusika na yote haya na hadi sasa wameificha Kwa sababu zao bado watanzania wanahangaika na bei ya 2700 -3000 elfu Kwa kilo wao wanaona burudani kabisa Kwa kuwa wenye shida, taabu na mateso Ni sisi

Kwa niaba ya unaowatetea waambie Asante Sana wamefanikiwa kututesa waendelee hivyo hivyo wafiche hadi chumvi na mafuta.
 
Mkuu wakati mwingine ni vyema kukaa kimya kuliko kuchangia,unajua sheria inasema nini kuhusu commodity hoarding during scarcity? Unataka utawala wa sheria wakati unatetea uvunjifu wa sheria!
Unathibitisha vipi kama mwenye shehena ni muuzaji au mtumiaji; kwa kumpeleka mahakamani au kwa kuigawa bure hiyo sukari yake? Haya basi tupeni sheria na utaratibu wa kugawiwa bure hiyo sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…