Tetesi: Adaiwa kuficha tani tele za sukari Moshi

Tetesi: Adaiwa kuficha tani tele za sukari Moshi

Kwani ni lazima kuuza? Kama ana mpango wa kuiuza nje ya nchi kwa nini alazimishwe? Mbona Bakhresa anasafirisha unga wa ngano nje ya nchi? Huu ni utawala wa kisheria, enzi za Ujamaa na Kujitegemea zilishazikwa na Azimio la Zanzibar, acheni watu wawe huru kuuza na kununua au kuhifadhi kadri wanavyotaka. Si tumeambiwa kuna shehena inakuja, au nahodha amebadili gia katikati ya bahari?
Punguza jazba,Tanzania ina operate under mixed economy.
Nenda kapekue ujue mixed economy ni nin alaf ndio uje kutoka povu hapa
 
Punguza jazba,Tanzania ina operate under mixed economy.
Nenda kapekue ujue mixed economy ni nin alaf ndio uje kutoka povu hapa
Kwa nini wasipelekwe mahakamani kwa kukiuka sheria inayowalazimisha kuuza stock yao?
 
Ni suala la muda tu , tatizo hili la kupanda kwa bei ya sukari sababu yake hasa ni nini ? Je ni "kufichwa" kwa sukari kunakofanywa na wachache au ni upungufu Wa sukari kwenye soko ,ambako kunahitaji serikali kuchukua hatua mahususi za kitaalamu kudhibiti hali hii. Maana kama ni kweli sukari ipo kwa wingi na yakutosha nchini tatizo "imefichwa" basi hatua hii ya kuigawa bure ile iliyofichwa itamaliza tatizo ,lakini kama tatizo ni deficit hatua hii itafanya hali iwe mbaya zaidi katika muda mfupi tuu ujao na itawalazimu kutangaza sababu nyingine Mpya.
 
Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.

Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....

Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....

Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?

Ndo hayo!

Kazikwetu
Mtake msitake adui namba moja wa nchi hii ni ccm....hili ni genge la kufichia wahalifu. ..wanalindwa na udola wao na ndiyo maana hawako tayari kuachia Madaraka kwa mwingine ili waendelee kula kidogo kidogo
 
Ok braza kwa kua wewe ni mhusika sasa tueleze tatizo ni kwa sababu vibali vimepigwa marufuku, na the time kabla ya marufuku mliokua na vibali mlikua wangapi, halafu ni kweli kwamba mlikua mnaleta sukari iliyo expire na a u sure haujaficha sukari, nikiwa na maana kwamba nyie wafanya biashara ya sukari ndio mnaotegemewa ku supply hiyo bidhaa,mwisho kama majibu yako yatakua tofauti na aliyosema ngosha sema hapa tujue kama ngosha nae anatuvuruga

Asante kwa kua Mwelewa, kwanza ieleweke kwamba sukari ilianza kuadimika mara tu baada ya vibali vya kuagiza sukari kutoka nje kupigwa marufuku. 1: MO kutokana na uchache wa sukari ya ndani amekuwa akitegemea sana kuuza sukari ya kutoka Thailand, Brazil na India na sukari yake huiuza bei ya chini kidogo kuliko wengine, baada ya vibali kusitishwa Mo amekua akiuza sukari ya TPC pekee maana Mtibwa ilipotea tangu february. 2: Mimi sifahamu idadi ya waliokua na vibali vya kuagiza sukari. 3: Kwa wafanyabiashara wengine sijui lakini Mo haleti sukari ilio expire watu wasiingize siasa katika hili imagine sukari inashushwa bandarini hadharania wakiwepo watu wa TFDA na TBS, inasombwa kupelekwa kwenye maghala hadharani na godowns za Mo hazina usiri wowote. Mtoa mada atueleze ni godown au ma godown yapi sukari ilipofichwa ili mimi nimsaidie yeye au mwingine atakaependa kuingia katika ghala hilo na ajithibitishie kwamba sukari haijafichwa. NB: usitake kujua mimi ni nani MeTL.
 
Kwan umeambiwa wakidhachukuliwa.sukar ndio kes imeisha?
Hapa mimi nazungumzia kabla ya kuchukuliwa sukari yao, kwa nini wasipelekwe mahakamani ili mahakama ikatoe tafsiri iwapo kuna sheria inayomkataza mtu kuhifadhi sukari kwa kiwango anachohitaji, au kuitumia kadiri anavyotaka?
 
Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.

Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....

Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....

Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?

Ndo hayo!

Kazikwetu
 
Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.

Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....

Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....

Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?

Ndo hayo!

Kazikwetu
Habari yenyewe ni tetesi halafu unamalizia kwa kusema kuwa kunauhujumu?
 
Hii lugha ya kuficha siyo lugha sahihi. Lugha sahihi ni ku- stock. Sijui mtu atafichaje tani 4000 za sukari. Na hili ni suala la biashara
 
Hajaficha: kahifadhi! Muwe na heshima kwa wenzenu! Hiyo ni mali yake! Ubwege CCM mtaacha lini?! Ubwege wenu ndiyo umesababisha sukari kukosekana.!
naona serikali inavuka mipaka yake inataka ilazimishe wafanyabiashara wawe kama public welfare associaations. hivi kuhifadhi bidhaa ni kuficha? mbona serikali yenyewe ilificha mahindi kwenye maghala ya vyakula wakati watu walikuwa wanakula viwavi kule mpwapwa?
 
Mimi nafikiri ili kuondoa huu mnyukano kati ya serikali na wafanyabiashara.

Utengenezwe utaratibu ambao utaruhusu viwanda kuuza kwa wafanyabiashara wote kuliko biashara hii kuhodhiwa na wafanyabiashara wakubwa ambao hulipia sukari yote kiwandani kwa msimu wote.

utashanga bei ya sukari kilombero, na mtibwa inafana na kahama, kwani hata wafanyabiashara wa maeneo kwenye viwanda hulazimika kwenda kwenye magodauni ya wafanyabiashara waliohodhi sukari huko daresalamu.

hii sio sawa.
 
Kauze yako! Mbona una akili primitive namna hiyo?! Kwenye biashara hakuna neno jamii: kuna bidhaa, wateja, na soko na ukipenda sema kuna bidhaa na soko tu! Badilika! Chukua hii misemo ikusaidie: 1. "simple minds discuss people" .2. "Ordinary minds discuss events" .3. "Great minds discuss ideas" .4. "Great minds turn problems into opportunities".
Wale wafanyabiashara wanaorudisha faida kwenye jamii humaanisha nini. In a civilised society, wafanyabiashara kama watu wengine wana social responsibility. That includes not hoarding commodities to create artificial shortages!
 
Hajaficha: kahifadhi! Muwe na heshima kwa wenzenu! Hiyo ni mali yake! Ubwege CCM mtaacha lini?! Ubwege wenu ndiyo umesababisha sukari kukosekana.!
Halafu kipindi hiki anafanya stock taking, ni takwa la kibiashara hasa kwa wale wataalam.

Ngoja wamkurupukie tujikute tumeuvagaa mkopo wake aliokopa nbc.

Mjifunze kupitia NMC.
 
Atakimbizana na sukari kwa miezi mitatu hadi minne, akishtuka mwaka umekatika na huku mtaani "afadhali ya jana"

Mwambieni jpm kwa upole kabisa kuwa huu mchezo hautaki hasira. samaki alishakauka kitaaambo asifanye jitihada za kumkunja, aangalie namna ya kumkaanga bila kumkunja.
 
Haki za huyu mwananchi zizingatiwe katika kuutafuta ukweli, tusije tukamgeuza Mbuzi wa Kafara wakati yeye keshatumia pesa nyingi sana kuumiliki huo mzigo!
Mtaji Wangu nimeamua kuweka sukari nimenunua kwa vibali vyote.dah
 
Mtaji Wangu nimeamua kuweka sukari nimenunua kwa vibali vyote.dah
kama umenunua kwa vibali vyote nadhani sasa kwa mahitaji ya soko. wakati umefika uanze kuuza sio kuendelea kujifadhi ikiwa sukari sasa inahitajika.
 
Back
Top Bottom