Mkuu wewe nahisi haupo kwenye hii biashara ndio utaona kama bla bla,mimi nina duka la jumla na anaye supply bidhaa kwenye duka langu ni mo,zakaria,bakhresa,sayona(matosun group etc na naletewa bidhaa na hao kupitia mobile truck zao mwezi wa pili sasa wanasema sukari hawana,je kama umeangalia clip ya mhe.rais anavyowahutubia wananchi wa katesh unahisi wanaongelewa walioficha sukari kule mbagala na yule aliyelipia sukari kilombelo ila ataki kuuza kwa wananchi? Unahisi wewe na rais nani anajua mwenendo mzima wa hii ishu? Msipende kupinga kila kitu,rais kaongea vitu sisi wengine tulikuwa atuvijui,sasa katufungua masikio na tunajua wanaomhujumu,eti matajiri wengine wanajigamba kwenye majarida ya forbes,hadi tunaambiwa bilionea kijana wa afrika ukiangalia utajiri wao wakimagumashi,wahujumu uchumi,wakwepaji kodi wakubwa,wazajilishaji na wahuzaji vitu fake....