Adaiwa kutumia jina la William Lukuvi kujipatia Tsh. Milioni 2.1

Yaani kaenda kufanyia utapeli wake ndani ya ukumbi wa polisi.
Kweli ana kipaji kizuri sana naamrisha ataifishwe kila alichonacho kuanzia mkewe hadi yeye mwenyewe awe mali ya wote (umma)
 
Mjinga akiingia kwenye 18 we piga tu

Ova
 
Kaja kupiga somo ktk ukumbi wa polisi dah.
 
SEMA JAMAA KAWAFUNDISHA SOMO LA UJASIRI, HAO WAJASIARIAMALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…