bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
mtayarishaji na mmiliki wa kampuni ya visual lab Adam Juma ameamua kuachana na kutengeneza video za kibongo na kwa sasa amesema atajikita zaidi na NGO moja ambayo ata hivyo akuitaja.
Source: TIMES FM
MY TAKE:
Kila la heri adam katika maisha yako mapya hakika mchango wako autosaulika kirahisi katika tasnia ya sanaa hapa tanzania.
Source: TIMES FM
MY TAKE:
Kila la heri adam katika maisha yako mapya hakika mchango wako autosaulika kirahisi katika tasnia ya sanaa hapa tanzania.