Mbasha analewa sana forty forty Tabata na the placeWote walevi tu mbasha kamuita mwenzake bangi sana na adamu aka maindi na kumpiga bonge la mtama au gwala mpaka mbasha akadondoka.
Jinsi alivyokuwa anaongea kweli yupo kama kalewa.Mbasha analewa sana forty forty tabata na the place
Watakuwa wanabodi lao hao tangu kitambo tuWakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza[emoji16][emoji16][emoji16]
Dah nimecheka sana mbasha kaondoka kama hamna kilicho tokea.Mbasha analewa sana forty forty tabata na the place
Dah nimecheka sana mbasha kaondoka kama hamna kilicho tokea.
Mchomvu ni muhuni tu[emoji23][emoji23]ule mtama alochotwa ilikua zaidi ya tanganyika jerk
Ule ni "MTATA" sio mtama ule maana jamaa alitembea kama mbuzi[emoji23][emoji23]ule mtama alochotwa ilikua zaidi ya tanganyika jerk
[emoji16][emoji16][emoji16] mi kwa ule mtama mbele za watu nisinge kubali mkuu lazima ningerusha ngumi tu hata kama magu ana angalia vita ya 3 ingetokea pale ila mbasha ni mpole sana Dah mtama kama ule mi ninge rudi kumvaa Adamu tudondoke wote chini ya jukwaa kama Wwe vile.[emoji23][emoji23]ule mtama alochotwa ilikua zaidi ya tanganyika jerk