Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Ukiwafanya watu wawe masikini kimakusudi kwa kuwasomesha namba Ni lzm watakuabudu ili wasife njaa ndo wafanyavo madikteta na makomunist wote duniani.Waliangalia tumbo la siku moja na sio kwa mapenzi yao
Ni sahihi kabisa.
 
Haujaona alivyokuwa anamkumbatia kumbatia hadi Adamu akapoteza balance? Itoshe kusema BASHA kapokea kichapo halali.
Angeweza kumchapia mbali ya macho ya Camera ingekuwa poa sana kwa carrier yake,kufanya vile katika live coverage ni nuksi kwake.
 
Angeweza kumchapia mbali ya macho ya Camera ingekuwa poa sana kwa carrier yake,kufanya vile katika live coverage ni nuksi kwake.
Ni kweli imeharibu reputation ya Mchomvu ,nakubaliana na wewe ki career wise haijakaa poa! Maana wadau /Maboss huwa hawapendi mtu mwenye hasira za ghafla kwahiyo watu wataogopa kufanya kazi na short-tempered.
 
Ni kweli imeharibu reputation ya Mchomvu ,nakubaliana na wewe ki career wise haijakaa poa! Maana wadau /Maboss huwa hawapendi mtu mwenye hasira za ghafla kwahiyo watu wataogopa kufanya kazi na short-tempered.
Nashukuru umenielewa mkuu.
 
hawa jamaa walilewa bangi, Bangi mbaya sana ndio maana yule dada mwimbaji aliamua kumuacha mbasha 🤣🤣
 
Mbasha kanikumbusha zama za mazinjathropasi, kutembelea mikono na miguu. ccm wanafanya kazi na wajinga hadi aibu
 
Wanajamvi nawasalimu
Mara nyingi humu wadau wamekuwa wakishabikia sana ulaji wa lile tunda bora kimasihara ila sasa kuna dalili ya Adam kulamba dili kali la ubalozi wa moja ya viatu au buti zinazotengenezwa kwa ule mtama wa nguvu au ngwara alilompatia yule msanii katika ule uwanja uliokuwa na jambo

Je unahisi viatu hivyo vitatusua kwenye huu uchumi wa kati kwa balozi huyo makini endapo atatumika
 
Back
Top Bottom