Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

haya ndio madhara ya kufanya mambo yasiyoendana na umri

Kuna baadhi ya watangazaji wa vipindi vya muziki wa kizazi kipya hawataki kukubali kuwa umri umewatupa mkono wanalazimisha mambo haya sasa matokeo yake ukitaniwa kidogo tu unahamaki kwakua kwa umri wako utani wa aina hiyo ni kashfa ila kama ingekuwa kijana wa miaka 25 kaambiwa mibange angeishia kucheka tu kwani kwa umri wake bado ana room ya kudeal na masihara masihara.

Ni muhimu sasa wakongwe watafute kazi nyingine waachie ajira kwa vijana, mambo ya vijana wafanye vijana.

Sasa kama ana brand ya 20 years si adundulize salary ajiajiri , hiyo brand yake imuingizie kipato.
 
Sawa mkuu mimi mjinga,nijibu swali lako juu ya faida ya CCM kutawala miaka 1000 ni kuwa tutaendekea kuishi kwa amani huku rasrimali za nchi yetu zikimnufaisha kila mtanzania

Mwisho nikanushe kuwa mimi sio kapuku ka udhaniavyo
Kwa mahitaji na huduma za kupunguza mihemko hadharani, kubalansi shobo, na mitama ya kimo cha mbuzi, tafadhali muone Adam Mchomvu (baba Jonii)
huko pm.... (Tunasimama na AdamMchomvu)
 
Ila mibangi kitu mbaya Sana.Jamaa ongea yake inaonyesha mibange imejaa kichwani!
 
Tukio la Mtangazaji wa Clouds Fm iliyopo chini ya CMG, Adam Mchomvu kumpiga ngwara muimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha kwenye tamasha la kutambulisha nyimbo za kampeni za CCM, litolewe tamko endapo ujio wa Mchomvu pale uwanja wa Uhuru aliiwakilisha CMG.

Ni wiki hii TCRA ilitoa adhabu kwa Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, kuzuiwa kwenda hewani, isije ikatafsiriwa kuwa Kitendo cha Adam Mchomvu ni kuharibu shughuli kama kufikisha ujumbe kwa kilichofanywa na TCRA.
 
Tukio la Mtangazaji wa Clouds Fm iliyopo chini ya CMG, Adam Mchomvu kumpiga ngwara muimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha kwenye tamasha la kutambulisha nyimbo za kampeni za CCM, litolewe tamko endapo ujio wa Mchomvu pale uwanja wa Uhuru aliiwakilisha CMG.

Ni wiki hii TCRA ilitoa adhabu kwa Clouds fm kupitia kipindi cha Jahazi, kuzuiwa kwenda hewani, isije ikatafsiriwa kuwa Kitendo cha Adam Mchomvu ni kuharibu shughuli kama kufikisha ujumbe kwa kilichofanywa na TCRA.
Adam ameshaomba radhi kwa Rais Magufuli..... Inatosha!
 
Inawezekana Adam ali PRE-PLAN either kutafuta kiki!

Kuna mtu kasema Adam alimwita Mbasha kwenye na akasema kwamba Mbasha anakunywa sana maji ndio maana ni mweupe!! Hii tunajua ni kusema jamaa anajichubua! Kwanini unamwita mtu jukwaani tena kwa utani mbaya halafu yeye anakutania back tena kwa utani wa kawaida unampiga!!!

Watu kama Adam ata urafiki sitaki!! Lakini “wasela” kwenye issue kama hizi ndio wanakuwa wanatetewa hata kama wamefanya makosa ambayo yapo wazi!!
Na kuna siku nakumbuka walizichapa kwenye kipindi cha XXL na B12 kikiwa on air, jamaa ana tatizo pahala.
 
Nyie huyo Mchovu hakua ameshitua before?? mimi sijaona sababu ya kumpiga mwenzie hivyo
 
Back
Top Bottom