Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Haya bwanaNdio madama alaf mzee wang ni mwenyekiti wa kijiji tunachoish
Sawa madam!😂😂Haya bwana
Ayoh Mchomvu!!!
Wape Mashavu Wanaaah!!
TUFANYE ANAKULA UNGA, WEWE INAKUATHIRI VIPI?Wadau nimeamua niulize hili swali ili nipate uhakika!
Ni usiku huu nipo nimetulia hapa mageto nasikiliza Clouds FM, nadhani itakuwa ni kipindi cha Soso Fresh Friday (sina uhakika), Adamu Mchomvu anahojiwa na Meena Ally na Soudy Brown nadhani ni kuhusu Fiesta sijui, Mchomvu yupo Kigamboni!
Yaani jinsi jamaa anavyoongea na anavyojibu maswali anayoulizwa ni tofauti kabisa, na ni kama analegeza sana sauti kama mtu ambaye yupo high sana dizaini kama katumia kilevi (anasikika kama mla unga maana anaslein sana lugha) mpaka nimejiulza huyu jamaa leo vipi?
Na katika moja ya maneno yake anamwambia Meena Ally "Will you marry me?" Wakati Meena kamuulza swali la kuhusu Fiesta!
Nimeamua nije kwenu wadau na swali hili kufahamu kama ni kweli huyu jamaa anakula poda a.k.a sembe!
Naomba kuwasilisha.
Kuna wakati nadhani niliwasikia wanasema Yeye huwa pia anaendesha taxi mtandao hivyo abiria anayetaka atahudumiwa nae."Adam we Ni bangi sana" kilichofuata Mbasha anajua.
Au ndo wewe adam mchomvu mbona umepanick sana mkuu?TUFANYE ANAKULA UNGA, WEWE INAKUATHIRI VIPI?
Hata alipomlamba Mbasha buti uwanja wa taifa , jamaa alikuwa anatania tu.Yes anakulaa mjani ila ni mtu wa masihara sana mara nyingi huwa yeye hayuko serious
Adam itakuwa hampendi mbasha hata kidogo hata leo akikikumbushwa bado anashikilia msimamoHata alipomlamba Mbasha buti uwanja wa taifa , jamaa alikuwa anatania tu.
Subiri mitamaBangi sana yule ndo shida yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Too much is hum....huyu nilishamuweka kundi la comedian usimchukulie directly kivile😝😝😝
🤣 Alikula bangi akawajambia? inasikitisha sanaHamnazo huyo.Toka awajambie Fetty na dozen studio ndio nikajua huyu star times no signal la ziada anakula bangi kama koboko.