Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

Mibange ilishamharibu medula o'blangata siku nyingi huyu, ndio maana hajielewi na ccm ndio watu inaowataka.
 
Huyu Adam hajafunzwa vizuri ndio tunamfunza kimtandao
Ajue Sisi walipe kodi sio kumaindi tu tumepoteza pesa nyingi kuangalia mibangeee yake
Pia, clouds ni kampuni kubwa haistaili kuendelea kuwa na watu wa kaliba ya huyo jamaa
Tutashindwa kuwapelekea kazi tutaogopa mingwala na mamimitama kama yale
Aiseh watu wanapiga mitama hatari mbele ya kamera
Cloud yenyewe siku hizo hawakuhamasisha ile kitu ya jahazi kweli? kwani nao ni walevi na mibange juu.
 
“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”

“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Kuomba radhi ni uungwana mkubwa sana.KILICHONISTUA ni kutajwa kwa IGP (Inspecta Jenerali wa Polisi).Jambo dogo la wasanii kukwazana jukwaani limefika kwa IGP na IGP kalitolea maelekezo.IGP huyu yupo kimya watu wanaozea vituo vya Police kwa makosa yenye kudhaminika.Hili ameliingilia haraka kwa kuwa linahusu vijana wa CCM.Ndugu zanguni nchi tunaibomoa kwa mikono yetu wenyewe.
 
Hahaha!!! Kama sio fani yako kwakweli utaumbuka/

Utampunguzia nani midhambi isiyo hesabiki ushakaba,Ushaiba na Ushauwa/

Njisi kijana anavyobadili tabia/
Inavyoonekana amesahau Mila za Mtanzania/


What'sup Sir Nature...
Nakushangaa kijana uishivyo Kama kuku
 
Lile lilikuwa tamasha la wasanii. Wasanii wengi bongo muziki ni vijana na hizo ndio lugha zao vijana, bangi sana wewe'. Sikuona haja ya watu kuwashangaa vijana kwa matumizi ya lugha za vijana.
 
“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”

“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Mchomvu kapigwa mkwara na "GESHI RA PORISI".
 
Hivi ingekua ni Dudubaya ndio kamuita hivyo huyo Adam,angempiga hicho kiteke chake cha kuvizia kwa nyuma? Ile stage ingegeuka kua ulingo wa ngumi aisee!

😀😀
 
Back
Top Bottom