pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Mibange ilishamharibu medula o'blangata siku nyingi huyu, ndio maana hajielewi na ccm ndio watu inaowataka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cloud yenyewe siku hizo hawakuhamasisha ile kitu ya jahazi kweli? kwani nao ni walevi na mibange juu.Huyu Adam hajafunzwa vizuri ndio tunamfunza kimtandao
Ajue Sisi walipe kodi sio kumaindi tu tumepoteza pesa nyingi kuangalia mibangeee yake
Pia, clouds ni kampuni kubwa haistaili kuendelea kuwa na watu wa kaliba ya huyo jamaa
Tutashindwa kuwapelekea kazi tutaogopa mingwala na mamimitama kama yale
Aiseh watu wanapiga mitama hatari mbele ya kamera
Kuomba radhi ni uungwana mkubwa sana.KILICHONISTUA ni kutajwa kwa IGP (Inspecta Jenerali wa Polisi).Jambo dogo la wasanii kukwazana jukwaani limefika kwa IGP na IGP kalitolea maelekezo.IGP huyu yupo kimya watu wanaozea vituo vya Police kwa makosa yenye kudhaminika.Hili ameliingilia haraka kwa kuwa linahusu vijana wa CCM.Ndugu zanguni nchi tunaibomoa kwa mikono yetu wenyewe.“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”
“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Nakushangaa kijana uishivyo Kama kukuHahaha!!! Kama sio fani yako kwakweli utaumbuka/
Utampunguzia nani midhambi isiyo hesabiki ushakaba,Ushaiba na Ushauwa/
Njisi kijana anavyobadili tabia/
Inavyoonekana amesahau Mila za Mtanzania/
What'sup Sir Nature...
Huyu alizingua kweli.Woyo Adamu umezingua(in mbasha's voice)
Wakisimama majukwaani utasikia "sisi wanasiasa vijana" halafu Ana miaka 50.Kwani ujana mwisho miaka ipi
Mchomvu kapigwa mkwara na "GESHI RA PORISI".“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”
“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
😂😂😂...hii aka inamfaha sn uyu muhuni....vijana wa chuga wana usela mavi mwingi sn cjui wanafeli wapi..utoto mwingi mpk uzeeni!Huyo sio tena Adamu Mchomvu, sasa hivi ni Adamu Mibange.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hii aka inamfaha sn uyu muhuni....vijana wa chuga wana usela mavi mwingi sn cjui wanafeli wapi..utoto mwingi mpk uzeeni!