mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Kwa muonekano Tu Mchovu anavuta, anakula, anaoga,anajifukiza bangi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njisi kijana anavyobadili tabia/Hiyo Mibangee wanayovuta ni stimu za kulanduka
Kuna mtu alitoa mfano wa mtu kuoga ziwani kichaa akaja akachukua nguo zake...bwana akasema Kama aliyekuwa anaoga akatoka kwenye ziwa akamkimbiza kichaa basi...wote watawaita ni vichaa wanakimbiza...somo: kuvumiliana na kuheshimiana Ni Jambo la msingi Sana..hasa kwenye kadamnasi...na kwa watu wanaojiita au wanaonekana Kama kioo Cha jamii..Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.
Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Aache matumizi ya bangi sana.“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”
“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Sleki mwenyeweEti alimpiga mtama.....mtama gani ule!?
Hivi vitoto vya siku hizi bana....sleki kabisa.
Kamtama/ KangwalaEti alimpiga mtama.....mtama gani ule!?
Hivi vitoto vya siku hizi bana....sleki kabisa.
😂😂😂Bangi hata mkulu akiwa mbeya alisema tuchome kisirisiri na tuwe wakali tena akasisitiza ya kyela.Big up Adam kwa kuwa mkali.
Tumekusameee kwakuwa umekiri makosa binadamu tunakosea. Endelea,piga kazi mdogo wetu ; kama mkuu wa kaya anavyosema.“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”
“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha, mimi sina tatizo lolote binafsi na wewe, kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri. Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
Hata mimi nashangaa kweli. Nimeitizama video katika angle tofauti tofauti ila sijaona kama ule ulikua mtama wa kutisha kama watu wanavyodai.Eti alimpiga mtama.....mtama gani ule!?
Hivi vitoto vya siku hizi bana....sleki kabisa.
Kumbe havutiMsamaha anao yeye mwenyewe kwa kuacha kutumia Bangee. Watu kama hawa ndio wanasababisha serikali ipige marufuku utumiaji bangee...vipi kama Mbasha nae angekuwa anavuta unadhani nini kingetokea jana pale jukwaani....
Eti alimpiga mtama.....mtama gani ule!?
Hivi vitoto vya siku hizi bana....sleki kabisa.
Kwa mtoto mrembo kama Mbasha ni mtamaa kwelii alafu remind you alikuwa anatembea so lazima angedondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mimi nashangaa kweli. Nimeitizama video katika angle tofauti tofauti ila sijaona kama ule ulikua mtama wa kutisha kama watu wanavyodai.
Usokwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unamkosoa unyaniiWewe Nyani unajua nini?
Kile kitendo hakisameheki kwa maoni yangu CLOUDS MANAGEMENT HAWAJIELEWI. Staff hawezi kufanya kitendo cha kihuni vile akabaki kazini. In short ameidhalilisha media regardless what aliaambiwa.ukipata jibu nitag mkuu
Huyu Adam hajafunzwa vizuri ndio tunamfunza kimtandaoKwa mtoto mrembo kama Mbasha ni mtamaa kwelii alafu remind you alikuwa anatembea so lazima angedondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Adam anaomba msamaha bhasi tuuu ila bado kammind jamaa sanaa