Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

Mtangazaji wa Clouds media Adam Mchomvu amemshukuru Rais Magufuli na CCM kwa kumuamini na kumpa jukumu la kuongoza shughuli katika tamasha la wasanii.

Kadhalika Mchomvu amemuomba radhi Rais Magufuli na CCM kwa sintofahamu iliyotokea pale jukwaani kati yake na bwana ndugu msanii mwenzie Emmanuel Mbasha lililosababishwa na hasira.

Source Ayo tv.

Maendeleo hayana vyama!
Jambo la kheri kama amefanya hivyo. Amuombe radhi pia E. Mbasha na Watanzania kwa ujumla.
 
Yule kijana nasikia kuna kampuni zinamtumia kama brand ambassador, hivi wana akili?

Kuna kampuni inajielewa inamtumia yule mvuta bangi kama muwakilishi wao?

Yule amedhihirisha wazi kua bangi sio kitu kizuri, acha iendelee kupigwa marufuku tu.

Kijana muda wote anapandisha suruali kama mtu anaejinyea.

Kama hawa ndio brand ambassadors basi bado tuna safari ndefu.
 
Nakereka sana bangi inapotajwa tajwa hovyo, mnatukosea heshima wavutaji, mnasema bangi mbaya kwani mshawahi kuvuta kenge nyie???

Mchomvu alikuwa anatekeleza maagizo ya Nape Nauye, uzinduzi wa mitama na mabuti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa amenikera Sana, haiwezekani Chama kiandae tukio kubwa namna ile halafu yeye aliharibu. Yaani story Sasa kawa yeye badala ya Chama. Mh. Polepole, huyo jamaa inabidi Jana ndio iwe mwisho kushiriki shughuli za chama.
 
Nakereka sana bangi inapotajwa tajwa hovyo, mnatukosea heshima wavutaji, mnasema bangi mbaya kwani mshawahi kuvuta kenge nyie???

Mchomvu alikuwa anatekeleza maagizo ya Nape Nauye, uzinduzi wa mitama na mabuti
Mzee wa goli la mkono!
 
Nimeangalia lile tukio ndio nimethibitisha kweli huyo Mchomvu ni mvuta bangi, ana ujuaji wa kishamba, hakuwa na sababu ya kumpiga Mbasha mtama wakati Mbasha tayari alikuwa anaondoka eneo la tukio, alichokifanya huyo Mchomvu ni utoto wa kutafuta sifa za kijinga.
 
Mchomvu yuko sahihi vijana wa Lumumba kama wale dawa yao mitama tu
Nami nakuunga mkono. Huyo Mbasha, badala ya kupanda jukwaani na kuimba nyimbo za kumtukuza Muumba wetu, yeye akabaki kumtukuza na kumuimba JPM ...... " MAGUFULI HOYEEE! HAKUNA KAMA MAGUFULI! UKAWA MTULIE TUU! "
Mwana kulitafuta kulipata!
 
“Dear #WashkajiZangu , kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali wakinifahamisha namna nilipaswa kufanya wakati wa shambulio lile la mimi kuitwa 'ADAM Unajua we ni Bangi sana' Kwa pamoja nimewaelewa”




“Nikutake radhi pia Emmanuel Mbasha Mimi sina tatizo lolote binafsi na Wewe kilichotokea ni kukwazika na kauli yako uliyotoa dhidi yangu kwenye tukio kubwa la Kitaifa lililotazamwa na Mamilion ya Watanzania, sisi wote Vijana kuna muda tunakosea na tunawekana sawa japo njia zingine si nzuri, Asante kwa Jeshi la Polisi chini ya IGP Simon Sirro kwa maelekezo yenu. Nitayatii na kwa sasa mimi ni Balozi wenu wa hiari kabisa.
CCM ina wahuni wa kila aina
 
Yule kijana nasikia kuna kampuni zinamtumia kama brand ambassador, hivi wana akili?

Kuna kampuni inajielewa inamtumia yule mvuta bangi kama muwakilishi wao?

Yule amedhihirisha wazi kua bangi sio kitu kizuri, acha iendelee kupigwa marufuku tu.

Kijana muda wote anapandisha suruali kama mtu anaejinyea.

Kama hawa ndio brand ambassadors basi bado tuna safari ndefu.
Yes, kila akipiga hatua moja lazima apandishe suruali, miaka yote hiyo hakui, bado ana usela mavi mwingi sana.
 
Back
Top Bottom