permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],Mkuu kwa hiyo ulipigwa kama ngoma.Mimi nilikuwa na mawazo kama yako mwanzoni ila nilikuja kupigwa na askari fulani pale mtwara anaitwa Alex yule fala anaijua karate balaa baadae nilipokuja kufuatlia kumbe ana mkanda wa karate ila shida nilijiamini kupitiliza nikajiona hakuna kama mimi kwenye suala la martial arts
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app