Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
Adam kawa FFU wa bongo fleva😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Im doing great today, hali imetulia kidogo.Pole extro, vipi hali unaendeleaje?
Toeni uchafu wa kweny meno kwanza ndo nije 😅😅...Wengi wachafu sina time na washamba .Acha makasiriko mkuu Karibu jiji la kukutoa tongotongo hizo
👍Im doing great today, hali imetulia kidogo.
Toeni uchafu wa kweny meno kwanza ndo nije
Nimetaka kushangaa kwakweli, Adam hata Ney awe amelewa hana cha kumfanya.Kwamba Ney amekua hatarin nyie wachuga mbona mnampaisha sana huyu mvuta bangi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Upuuzi mtupu kuna siku huyo bishoo koko atavunjiwa yai na kuvishwa shanga
Sifichi kaka hakika huyo dogo alinipiga sana yaaani kama mwanae vile ila saivi ni mshkaji wangu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera kwa kuwa mkweli
Wewe ndo mchomvu mwenyewe au chawa wake?..Maana huyo jamaa sioni kama ata ana cha maana.Labda unapagawa na usela mavi.Mchomvu akisoma hii reply yako siku mkikutana maisha yako yanaweza kuwa hatarini.
Nimeshangaa sana kusikia kwamba mpaka karne hii bado kuna watu wanapigana 😀kupigana na kugombana kulishapitwa na wakati
Nay muoga bingwa wa maneno,sema siku hizi wahuni hamna,watu wanafocus na maisha.
Yaani Ney apigwe na teja.Upuuzi mtupu kuna siku huyo bishoo koko atavunjiwa yai na kuvishwa shanga
Sema weyeAnaazia wapi kumpiga ney
Huyu yatamkuta ya TID SIKU MOJA.HII NI MARA YA 3 NASIKIA HUYO MCHOVU ANAPIGA WAZEMBE.
NAMTAMANI SANA HUYU JAMAAA
NAOMBA MWENYE NAMBA YAKE AISEE, NITAMKANDA HUYU KU.MANI
NIKO SERIOUS NIPENI NAMBA YAKE,