Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Asiporudi atakula wapi?Kwani kesha rudi cloudsfm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiporudi atakula wapi?Kwani kesha rudi cloudsfm
Media n nyingi, ataenda hat wasafiAsiporudi atakula wapi?
HahahaaNasikia mchovu aliwahi kujamba ndani clouds, huku wakiwa on air,
Chuga mbali kwanini tupoteze muda hapa Pwani tu panamtosha kabisaMleteni Arusha hata likizo tu huyo Dogo fala, alianza kuvuta bangi mapema sana wakati anaseoma Arusha day.
Mleteni tu mfunde, atabomolewa mpaka asahau jinsia yake, hulo mnamlea huyu mpumbavu ndo maana anaendeleza bangi zake.
HaweziMedia n nyingi, ataenda hat wasafi
Mimi nilikuwa na mawazo kama yako mwanzoni ila nilikuja kupigwa na askari fulani pale mtwara anaitwa Alex yule fala anaijua karate balaa baadae nilipokuja kufuatlia kumbe ana mkanda wa karate ila shida nilijiamini kupitiliza nikajiona hakuna kama mimi kwenye suala la martial arts
Anachagua wa kumpiga .Yule jamaa anajivunia ukubwa na urefu wa mwili wake anajiona kila mtu anaweza kumbomoa
Pona Kwanza mkuuHuyo mjinga atafte kiki kwangu atajuta maisha yake yote. Anakula nako za kwenda yani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee Mungu atasaidia mkuu kumbe ni malaria kali ilikuwa imefumuka. Dam imezidi pia.Pona Kwanza mkuu
Kwanza uhoni anakama na wasanii wapaka powder mtu kama Q chief [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anachagua wa kumpiga .
Kuna watu wafupi na miili Yao ya kawaida, wanapiga ngumi balaaa
Pole sana mzeeAisee Mungu atasaidia mkuu kumbe ni malaria kali ilikuwa imefumuka. Dam imezidi pia.
Asante mkuu, acha tupambane na Dozi sasaPole sana mzee
Anayetesa ni mwenye pesa Diamond,Sasa huyu mpaka Sasa hv umri 40+bado anasubili mshahara,atamtesa nani?na mbwembwe zote,anaendesha Xtrail!!Mpare anawatesa mablazameni
Adam Huku chuga alipigwa na kijana mdogo tu wa somber. Akiwa chuga mbona mpole tu na anaheshimu watu.... Aende chuga apewe dk 5 kijana mmoja ampe mateke na makofi, akirud daslamu atatuliaMNAMPAISHA SANA UYUMVUTA MIMOSHI HANA AKILI KBSA HUYU MJINGA MM NI MKASKAZINI LKN SIJAWAHI KUMKUBALI HUYU NDEZI
Kabisa , cha msingi Mungu akufanyie wepesi upone harakaAsante mkuu, acha tupambane na Dozi sasa
[emoji23][emoji28]Comrade tutakufanya neti