Adam Mchomvu kidogo amtembezee kichapo Ney wa Mitego bar

Adam Mchomvu kidogo amtembezee kichapo Ney wa Mitego bar

Mimi nilikuwa na mawazo kama yako mwanzoni ila nilikuja kupigwa na askari fulani pale mtwara anaitwa Alex yule fala anaijua karate balaa baadae nilipokuja kufuatlia kumbe ana mkanda wa karate ila shida nilijiamini kupitiliza nikajiona hakuna kama mimi kwenye suala la martial arts

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hongera kwa kuwa mkweli
 
MNAMPAISHA SANA UYUMVUTA MIMOSHI HANA AKILI KBSA HUYU MJINGA MM NI MKASKAZINI LKN SIJAWAHI KUMKUBALI HUYU NDEZI
Adam Huku chuga alipigwa na kijana mdogo tu wa somber. Akiwa chuga mbona mpole tu na anaheshimu watu.... Aende chuga apewe dk 5 kijana mmoja ampe mateke na makofi, akirud daslamu atatulia
 
Back
Top Bottom