Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Sidhani kama huyo teja anaweza mgusa wa mitego
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu chuga mkuu ujionee mengiKwamba Ney amekua hatarin nyie wachuga mbona mnampaisha sana huyu mvuta bangi
Comrade tutakufanya netiYaani sielewei kabisa mwanume unapigwa na dume mwezako yaani hivhiv kizembe
Ngoja siku huyo, mchomvu aingie kwenye anga zangu aisee nita bintua hatoamin
Hahaha bora ajirihadhari tusije tukamkosa storyteller kama Mshana jrMchomvu akisoma hii reply yako siku mkikutana maisha yako yanaweza kuwa hatarini.
Wanyakyusi mjikoroge tu tutawafanya neti Msituchukulie poa tutawavutisha bangi huko chinisisi bandu ba mbeya hatunaga dogo, mngemuokota mchomvu ICU. Asicheze na pipo za kumbeye
daslam wala chipsi au wengine?Huyu mchovu hawezi kumpiga Ney kama ana hamu ya kuhama Dar ajaribu .
SureNay muoga bingwa wa maneno,sema siku hizi wahuni hamna,watu wanafocus na maisha.
Duhcocain
form lissu Mrs up to ...thabo bester I see how u did move on...😂😂😂
Ananyonya sana huyo kijana hata ameamua kiki zake ziwe ni mapigano😂😂😂 ya full Chuga’s kuandamana hapa dsm!
AshapoteaAnanyonya sana huyo kijana hata ameamua kiki zake ziwe ni mapigano😂😂😂 ya full Chuga’s kuandamana hapa dsm!
Hivi mabangi kama huyo, mlegevu anawezaje kuachiwa afanye ufalo huo?Upuuzi mtupu kuna siku huyo bishoo koko atavunjiwa yai na kuvishwa shanga
Kijana amekonda sana! But sijafahamu kama ametengeza ustaa wake upya unaoAshapotea
Kweli vijana wa kiume mnaisha kwa kasi ya 5G dunianiMchomvu akisoma hii reply yako siku mkikutana maisha yako yanaweza kuwa hatarini.
Ujinga tuu hajakutana na kisiki badoHivi mabangi kama huyo, mlegevu anawezaje kuachiwa afanye ufalo huo?
Upuuzi mtupu kuna siku huyo bishoo koko atavunjiwa yai na kuvishwa shanga
we jidanganye ,ugali sijui mahindi ni chakula cha mifugo ..daslam wala chipsi au wengine?