wapi walidiss mzee, unaushahidi? Jide alianza kulialia mtandaoni baada ya aliyekuwa 'mke wake' Gadna kutoka Cloudz na kupungua kwa promo aliyoizoea kila siku kwenye kipindi cha Jahazi
Hivi nyimbo za lady jaydee nazo sio za mtanzania eehh?,nyimbo za akina wizkid, TI, flava, psquare ni za watanzania?
Huu uzalendo clouds wanaouhubiri ni UPI? Jide ni mtanzania wamemsusa miaka tena na bifu la kumshusha juu ila Leo kisa diamond ndio uzalendo wanauibua??
Kama uzalendo anzeni na jide kwanza ndo twende MTVmama.
Nazan imefika mahali watanzania wote kwa Ujumla Tubadilike kuanzia Alik na Diamond wao wenyew kwa wenyew ili kutuwek Mashabik saw wafanye kitu kitakachofanya Mashabik waungane na Kuona hakuna Tofauti yeyote kati yao.....
Nazan imefika mahali watanzania wote kwa Ujumla Tubadilike kuanzia Alik na Diamond wao wenyew kwa wenyew ili kutuwek Mashabik saw wafanye kitu kitakachofanya Mashabik waungane na Kuona hakuna Tofauti yeyote kati yao.....
Leo nimesikiliza interview za Alikiba na Diamond walizofanya na watu tofauti. Moja Alikiba alifanya na GlobalPublishers na nyingine alifanya na Spoorah, kwa upande wa Diamond alifanya na Spoorah. Ukiangalia hizo interview, kiukweli Alikiba ana roho fulani ya wivu wa kijinga. Na haya mabifu yote yeye ndiye kayaanzisha. Naomba yule aliye na muda apitie hizi interview, hakika kuna kitu atajifunza.
Wakiweka wazi kuwa hawana bifu ndo utakuwa mwisho wa Kiba, acha timu zichuane. Ngoja niende kwa misukule kule kwa ma ex wa Dai nikaone uharo wao.
yes kiba hawezi kukubali kupatana kirahisi, anajua bila hili bifu asingekuwapo hapa alipo angekuwa ashasahaulika. hili bifu ni faida kwake, na ni hasara kwa diamond
Nilisoma eti esma alimfuma petit anagegeda sebleni kwa mheshimiwa mbungeYes oo ila dada wa Platnumz na wema ukaribu umekufa sijui alifuma nini dada wa watu... Na wivu pia juu kwa dada kwa kuwa karibu na Zari wifi yake.
Hizi kazi za waume kufanya masaa 24 na mwanamke asie na bwana ni kazi....maana kila kona hao hata kupeleka mbwa vet hao, kunywa hao, kula nje hao, safari hao pamoja mke anabaki ka vike hakuolewa.
Sijui sasa nadhani petit amejirekebisha kiaina maana buti lilimuanza kumkwea kabla mamaa hajajifungua.
Aaagh ni mengi tunasoma wengine mitandaoni burudani tunacheka hatuzeeki, napita.
Nawe unayako juu ya Chibu.
Jide amefungiwa kutotambulika nje ya nchi?
Redio ni moja nchini? Au wanazuia mtu kujipa promo nje ya nchi?
Watanzania halisi tunasapoti watanzania wote na wanaopiga kazi na sio kusubiri maneno kuwafufua kama wamefulia.
Haya waache wanaotupeperushia bendera yetu Africa kwa sasa na duniani macho yote yatakuwa kule
wapi walidiss mzee, unaushahidi? Jide alianza kulialia mtandaoni baada ya aliyekuwa 'mke wake' Gadna kutoka Cloudz na kupungua kwa promo aliyoizoea kila siku kwenye kipindi cha Jahazi
Inatosha kwa leo
Leo nimesikiliza interview za Alikiba na Diamond walizofanya na watu tofauti. Moja Alikiba alifanya na GlobalPublishers na nyingine alifanya na Spoorah, kwa upande wa Diamond alifanya na Spoorah. Ukiangalia hizo interview, kiukweli Alikiba ana roho fulani ya wivu wa kijinga. Na haya mabifu yote yeye ndiye kayaanzisha. Naomba yule aliye na muda apitie hizi interview, hakika kuna kitu atajifunza.
Niliwahi kuandika baada ya kumuona Kiba kwenye mkasi....jamaa ana kikorosho na usoni mwake anaonyesha kabisa...na hata kama ni kushauriwa itakuwa rahisi kwa Diamond kuliko Kiba.
Na sasa amewaefluence Wema na Jokate kwa makusudi...na unajua demu ukimpa "peremende" atafanya unavyotaka.
Na aliwahi kutuhumiwa na TID, kutaka kumdanjisha.....then akatajwa ishu ya Lulu na Marehemu Kanumba....jamaa sio kabisa, anatakiwa kujirekebisha.
Nyie mashabiki ndio mjitambue,kwani ilo linatakiwa mpaka Kiba akuambie kuthamini vya nyumbani
yes kiba hawezi kukubali kupatana kirahisi, anajua bila hili bifu asingekuwapo hapa alipo angekuwa ashasahaulika. hili bifu ni faida kwake, na ni hasara kwa diamond